Rk10
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,216
- 1,369
Ujui unacho kiongea yaani jengo la serikali linatakiwa kudumu kwa miaka isiyopungu sitini ijengwa kwa tofari za kusimama, majengo ya serikali niyakudumu siyo kama kujenga kioski.Hatuwezi kupinga kila kitu, alichoongea kina mantiki, hasa majengo madogo madogo hakuna haja kulaza tofali.
Maadam msingi, beam na tofali zina kiwango