SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Mkuu hukuwa na sababu ya kutumia lugha za kuudhi, PM kanukuu ibara fulani ktk ama katiba au sheria,Yaani mwananchi hana haki ya kuhoji halafu kwenye kuomba kura wanarudi kwa wananchi waliowaweka madarakani. Ukiwa shabiki wa CCM Lazima uwe element za utahira
Wewe ungesema ibara hiyo haisemi hivyo alivyoelewa Mkuu...
Bali inasema hivi na hivi...