Waziri Mkuu wa Uholanzi akiwasili ofisini kwa usafiri wa baiskeli. Je, viongozi wetu wanaweza kufanya hivi?

baiskeli zikiwa nyingi kuliko idadi ya watu inamaanisha mtu mmoja anaendesha baiskeli 5 tofauti?
Kwa mujibu wa shirika lao la takwimu ni kuwa kwa kila siku nchini uholanzi safari za kila cku za wakazi wa nchi hyo ni 34.2% baiskeli 51.5% magari 14.3% usafiri wa umma safari hzo ni kwenda makazini,shule,masokoni, yani daily activities hii ni kwa nchi nzima wakati mji mkuu Amsterdam ni 70% wanatumia baskeli na inakadiliwa kuwa mtu mmoja anamiliki zaid ya baskeli moja
 
IMG_20171016_162216.jpg
IMG_20171016_162219.jpg
IMG_20171016_162222.jpg
IMG_20171016_162225.jpg

Mkumbuke hawa ni sehem ya WASHIRIKA WETU WA MAENDELEO ambao hutusaidia hadi KUJENGA BARABARA.
Wanabana matumizi kikwelikweli.
 
Mlivyo vibendera Hata Ikitokea Hili kufanyika huku
mtaanza kuropoka Kiki
Nchi ya vijana wa hovyo kuwa kutokea
 
Kwa hiyo unataka kusemaje? kwamba na huku kwetu tufanye hivyo? Sasa si utawapa kazi wazee wa sekyuriti kufanya mchaka mchaka kuwalinda wakuu njia nzima?
Hilo la sekyuriti ni kweli,ila pia maulinzi meeeengi ni ishara ya uwoga na kuwa na maadui wengi au wabay wengi
 
Mlivyo vibendera Hata Ikitokea Hili kufanyika huku
mtaanza kuropoka Kiki
Nchi ya vijana wa hovyo kuwa kutokea
Magar ya viongoz na watendaji wetu ni ya gharama sana ndugu,
Tana gharama sana sana sana.
We've to change,naona serikali ya awam ya 5 inahubiri kubana matumizi ila kwenye "Mishangingi" imefeli
 
Picha za hapo chini zikimuonyesha Waziri Mkuu wa Uholanzi bwana Mark Rutte akienda zake ofisini kwa usafiri wa baikeli
Netherlands Prime Minister waving to the camera



Netherlands Prime Minister entering the office



Netherlands Prime Minister rides a bike to his office


Netherlands Prime Minister parking his bike
 
Back
Top Bottom