Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Jamani wana JF,
Nimefungulia BBC SWAHILI nimeskia kuwa bwana Odinga ameombwa aende kusuluhisha bwana Gnagbo na Ouattara kule Ivory Coast.
Mwageni maoni, itawezekana kweli akafanikiwa? Je huyu Raila Odinga ni bora kuliko Tabho Mbeki aliyeshndwa? Na vp Kikwete angefaa au! Maana angekwenda Raisi wetu angepewa U-Profesa. Mnasemaje?
Nimefungulia BBC SWAHILI nimeskia kuwa bwana Odinga ameombwa aende kusuluhisha bwana Gnagbo na Ouattara kule Ivory Coast.
Mwageni maoni, itawezekana kweli akafanikiwa? Je huyu Raila Odinga ni bora kuliko Tabho Mbeki aliyeshndwa? Na vp Kikwete angefaa au! Maana angekwenda Raisi wetu angepewa U-Profesa. Mnasemaje?