Comment nzuri ila Rangi uliyotumia kwenye font inaleta kichefuchefu.. imekaa ki CCM zaidi
Siyo kukata tu bomba ingetakiwa waweke sumu kabisa ili tuteketeze hicho kizazi cha nyoka.
Kitaifa vipi? Kufa au kuzika?
Nasisitiza tena nampa pole mama yako alie kulea tumboni miezi 9 laiti angejua......!!hilo bomba halipo katika jimbo la Nasari, huo ni uchochezi, chanzo cha maji kipo Bangata ambayo ni jimbo la arusha magharibi, nina wasiwasi na hao waliokwenda kukata hilo bommba la maji....
Wewe hauna akili sawa sawa.
Wenye maiti yao wanataka kuzika wenyewe, sasa serikali inaingiaje hapo?
Wafiwa wanaamini ndugu zao wameuwawa na serikali ni vipi tena serikali ing'ang'anie kuzika hao watu?
Siyo kukata tu bomba ingetakiwa waweke sumu kabisa ili tuteketeze hicho kizazi cha nyoka.
Siyo kukata tu bomba ingetakiwa waweke sumu kabisa ili tuteketeze hicho kizazi cha nyoka.
stroke,nimeamini majina humwumba binadamu.Mleta mada amesema 'vijana wa kimeru' ,hakusema vijana kutoka jimbo la Mh Nasari.Hivi kuna jimbo la arusha magharibi?Shirikisha ubongo hata kama una 'stroke',huenda haujafa wote.
kumbe lowasa mweupe kama mvi wake, ivi ndo anataka kugombea urais mwehu uyu,......nimeipenda sanaWana Jf,
Siyo muda mrefu vijana wa kimeru wenye hasira wamekata Bomba la maji linalotokea Meru kwenda Monduli.
Hii inatokana na kitendo cha Green Guard waliotumwa na Lowassa kumpiga mbunge wa Joshua Nassari ambaye amelazwa hospitali ya Seliani, pamoja na mawakala wengine wa CHADEMA ambao wamepigwa vibaya sana na Green Guard wa Lowassa na CCM
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
msiba wa mtu binafsi utakuwaje suala la kitaifa? Taifa gani?, tanzania sasa hivi kuna mgawanyiko mkubwa hata kujiita "taifa" inataka kichaa. Taifa gani? Hili hili lisilojali raia wake mpaka wanapokufa? Tena kwa kutaka pointi za kisiasa?
Huu ulikuwa mkutano wa chadema. Chadema ni chama cha upinzani. Wanachama na wafuasi wake wengi - inawezekana hata waliofariki- hawaipendi ccm na serikali yake. Na mimi siwezi kuwalaumu kwa hili.wataipendaje serikali isiyoweza kuwahakikishia ulinzi hata kwenye a political rally tu?
Pinda anafikiri hawa watoto wadogo? Unawaua (hata kama hawakuuawa directly na serikali, serikali kutotoa ulinzi ni uzembe na imeshiriki kuwaua) halafu unawapoza jamaa zao kwa peremende ya "mazishi ya serikali"?
Serikali italazimishaje kuzika watu wasioipenda?
Pinda alifanya mawasiliano gani na ndugu wa marehemu kujua kama watapenda ndugu zao kuzikwa na serikali?
Anajua mila zao wote zinavyosema kuhusu suala la kuzika? Kuna watu wengine wana mila zinazotaka maziko yafanywe na ndugu , haoni kwamba kwa kuiingiza serikali kiranga cha maziko ka boogie step?
Mkuu KIHENGE,kwani nini chanzo cha vifo?Hawa marehemu walilipukiwa na bomu wakiwa kwenye mkusanyiko wa kisheria.Nani aliyerusha bomu?!!Vifo havijasababishwa na magonjwa ya mlipuko yanayoambukiza,kwa nini serikali ing'ang'anie kuzika?Serikali inaogopa watafufuka?Mbona wale waliouawa na polisi Arusha wakati wa maandamano ya CDM hawakuzikwa na serikali?Wailokufa kwenye mlipuko wa Kanisani kwa nini hawakuzikwa na serikali.?Kwa nini serikali inaingilia uhuru wa mtu kumzika ndugu yake?Serikali inaogopa maiti?mkuu hili nisuala la kitaifa mimi naona kafanya sahihi kusema serikali itazika, ulitaka azike nani mkuu?
Pinda anapata wapi uwezo wa kusema serikali itazika watu?
Au bado anafikiri kuzikwa na serikali ni jambo la heshima bila hata kujua wafiwa wanataka nini?
Anafikiri kila mtu anaendekeza umasikini na kubeba ukondoo kwa mbeleko?
Siyo kukata tu bomba ingetakiwa waweke sumu kabisa ili tuteketeze hicho kizazi cha nyoka.
I wish, matusi yangekuwa yanauzwa dukani na siyo free. Watu kama wewe msingeweza kuyanunua.Toa uchafu wako hapa.
Huwezi kupost kitu bila ya kuitaja CHADEMA?
You try to balance the story inorder to hide your stupidi..
Sema wazi Pinda kachemka ama Pinda ni mchawi mkubwa.
Pinda anataka kuchukua maiti za watu za nini?
Ndugu wameshasema wanataka kuzika maiti zao wao wenyewe.
Wako tayari kushirikiana na CHADEMA pekee katika tukio hilo. Hawataki msaada wowote wa serikali katika mazishi hayo.
mkuu hili nisuala la kitaifa mimi naona kafanya sahihi kusema serikali itazika, ulitaka azike nani mkuu?