WAZIRI MKUU PINDA: Maiti wote wa mlipuko wa Bomu watazikwa na Serikali!!

Vipi kichapo cha jana stroke bado una ndoto za mchana ha ha ha ha ha ha ha!.Kikao cha Ole Medeye ndiyo kilitibua mambo kwa taarifa yako.


[h=2]
icon1.png
Kikao cha CCM technical: Wazee wa kimasai wamkatalia Ole Medeye na CCM kuwatumia kisiasa[/h]
Wana jamvi,
kuna kikao ambacho kinaendelea muda huu kwenye ukumbi wa Arusha Technical College.
Awali kikao hicho kiliitishwa kama kikao cha wazee wa kimasai yaani Malaigwanan.

Baada ya muda agenda ya kikao kikawekwa mezani, ambapo Waziri Ole Medeye ndiye alikuwa mzungumzaji mkuu katika kikao hicho, akawaambia wazee kuwahamisisha vijana na akina mama wa kimasai kuhakikisha ccm inashinda kwenye uchaguzi wa jumapili.
Mzee Moja akasimama, akasema wao walijua ni kikao cha kimila, kumbe ni kikao cha kisiasa. Akasema wao kama malaigwanan jukumu lao ni kuwafundisha vijana na jamii uadilifu, siyo chama gani wakipigie kura. Mzee Mwingine akasema mbona mnatuletea mambo ya Monduli?
Ole Medeye akatetea point yake kuwa lengo ni kurudisha uongozi wa arusha kwa wenyeji, na anaomba wazee waungane na ccm kumpinga mbunge Lema ambaye ni Mchaga. Ole Medeye amewaambia kuanzia sasa wenyeji (wamasai) wasiwauzie tena viwanja wageni hasa wachagga, na wakatae kutawaliwa na wachagga kuanzia sasa.

Mzee wa kimasai mwingine akasema wao hawako tayari kufanya ubaguzi wa kikabila, kwasababu na wao pia wamehamia sehemu tofauti na wamejenga, wengine ni viongozi mpaka nje ya nchi kama Ole Naiko.

Ndugu wanajamvi,
Hii ndiyo siasa safi ya ccm kuwagawa watu kwa kabila na dini zao, wameishiwa hoja badala yake wameamua kuwatenganisha kwa tabaka.

Kikao kinaendelea tutawajuza. Ila Wazee wamekataa kuandamana kumpinga mbunge Lema. Kuna vijana wengi sana wapo kwenye kikao, nadhani baada ya muda mgawo ukianza kutembea tutasikia kauli ya vijana wenzetu.

Hivi ninapotuma taarifa hii, kuna taarifa nyingine kuwa OCD ameagiza Red Brigade pamoja vijana wote wenye element ya chadema kukamatwa na kuwekwa ndani mara moja.
Hiyo shughuli kimsingi ilishaanza tokea jana usiku baada ya kikao cha OCD na Viongozi wa CCM chini ya uenyekiti wa Stephen Wassira na Ole Medeye kilichofanyika SG Resort

Nitaendelea kuwajuza kinachojiri kwenye kikao cha technical​
 
Mkuu vipik2 nakushauri anzisha thread maalumu kwaajili ya hicho kikao cha Malaigwanani.

icon1.png
Kikao cha CCM technical: Wazee wa kimasai wamkatalia Ole Medeye na CCM kuwatumia kisiasa


Wana jamvi,
kuna kikao ambacho kinaendelea muda huu kwenye ukumbi wa Arusha Technical College.
Awali kikao hicho kiliitishwa kama kikao cha wazee wa kimasai yaani Malaigwanan.

Baada ya muda agenda ya kikao kikawekwa mezani, ambapo Waziri Ole Medeye ndiye alikuwa mzungumzaji mkuu katika kikao hicho, akawaambia wazee kuwahamisisha vijana na akina mama wa kimasai kuhakikisha ccm inashinda kwenye uchaguzi wa jumapili.
Mzee Moja akasimama, akasema wao walijua ni kikao cha kimila, kumbe ni kikao cha kisiasa. Akasema wao kama malaigwanan jukumu lao ni kuwafundisha vijana na jamii uadilifu, siyo chama gani wakipigie kura. Mzee Mwingine akasema mbona mnatuletea mambo ya Monduli?
Ole Medeye akatetea point yake kuwa lengo ni kurudisha uongozi wa arusha kwa wenyeji, na anaomba wazee waungane na ccm kumpinga mbunge Lema ambaye ni Mchaga. Ole Medeye amewaambia kuanzia sasa wenyeji (wamasai) wasiwauzie tena viwanja wageni hasa wachagga, na wakatae kutawaliwa na wachagga kuanzia sasa.

Mzee wa kimasai mwingine akasema wao hawako tayari kufanya ubaguzi wa kikabila, kwasababu na wao pia wamehamia sehemu tofauti na wamejenga, wengine ni viongozi mpaka nje ya nchi kama Ole Naiko.

Ndugu wanajamvi,
Hii ndiyo siasa safi ya ccm kuwagawa watu kwa kabila na dini zao, wameishiwa hoja badala yake wameamua kuwatenganisha kwa tabaka.

Kikao kinaendelea tutawajuza. Ila Wazee wamekataa kuandamana kumpinga mbunge Lema. Kuna vijana wengi sana wapo kwenye kikao, nadhani baada ya muda mgawo ukianza kutembea tutasikia kauli ya vijana wenzetu.

Hivi ninapotuma taarifa hii, kuna taarifa nyingine kuwa OCD ameagiza Red Brigade pamoja vijana wote wenye element ya chadema kukamatwa na kuwekwa ndani mara moja.
Hiyo shughuli kimsingi ilishaanza tokea jana usiku baada ya kikao cha OCD na Viongozi wa CCM chini ya uenyekiti wa Stephen Wassira na Ole Medeye kilichofanyika SG Resort

Nitaendelea kuwajuza kinachojiri kwenye kikao cha technical​
 
Last edited by a moderator:
Nipo mjini tayari tokea enzi za uhuru, bangata napataja kwakua napafahamu kutokana na shughuli zangu, my origin is Arusha, na kelele zako wewe hazinitishi hata chembe kubadili msimamo wangu, kuondoka mtaondoka tu, wewe kwako those pieces of ---- kama aqueline ndio unona heaven maan umekulia kule rombo na kuja arusha kupata maisha mazuri now unaaza kutukana tuliokupa pa kujifichia, sasa mtahama tu mjini kwetu, kikubwa zaidi wazawa wamesoma na wapo mjini wana fight na watarudi kwao kuchukua mji wao, Arusha is not a shit hole for chagas it is a haeven for maasai, and merus respect that, na uishi nayo hiyo mpaka siku ya kuondoka humu duniani..

Jina lako tu kituko, nani stroke??? Nadhani una kiharusi kama jina lako linavo sema. Karne hii bado unaongelea suala la ukabila na ukanda? Mshamba mkubwa. Wahindi wako hapa wanakula bata wasemeje? Eti niko mjini tokea uhuru so what. Usa is for red indians nenda kule uone kama hao red indians wana cha kusema.........mburulas peke yao ndo wanaweza ongelea ukabila na ukanda at ths time if the century. .... A town ni ya watz wote as long as I can make it there..... hapa kwetu kanda ya ziwa na kaba dar, mza, arusha, mbeya ndo usasa mburula mkubwa wee...
 
[h=2]
icon1.png
Kikao cha CCM technical: Wazee wa kimasai wamkatalia Ole Medeye na CCM kuwatumia kisiasa[/h]
Wana jamvi,
kuna kikao ambacho kinaendelea muda huu kwenye ukumbi wa Arusha Technical College.
Awali kikao hicho kiliitishwa kama kikao cha wazee wa kimasai yaani Malaigwanan.

Baada ya muda agenda ya kikao kikawekwa mezani, ambapo Waziri Ole Medeye ndiye alikuwa mzungumzaji mkuu katika kikao hicho, akawaambia wazee kuwahamisisha vijana na akina mama wa kimasai kuhakikisha ccm inashinda kwenye uchaguzi wa jumapili.
Mzee Moja akasimama, akasema wao walijua ni kikao cha kimila, kumbe ni kikao cha kisiasa. Akasema wao kama malaigwanan jukumu lao ni kuwafundisha vijana na jamii uadilifu, siyo chama gani wakipigie kura. Mzee Mwingine akasema mbona mnatuletea mambo ya Monduli?
Ole Medeye akatetea point yake kuwa lengo ni kurudisha uongozi wa arusha kwa wenyeji, na anaomba wazee waungane na ccm kumpinga mbunge Lema ambaye ni Mchaga. Ole Medeye amewaambia kuanzia sasa wenyeji (wamasai) wasiwauzie tena viwanja wageni hasa wachagga, na wakatae kutawaliwa na wachagga kuanzia sasa.

Mzee wa kimasai mwingine akasema wao hawako tayari kufanya ubaguzi wa kikabila, kwasababu na wao pia wamehamia sehemu tofauti na wamejenga, wengine ni viongozi mpaka nje ya nchi kama Ole Naiko.

Ndugu wanajamvi,
Hii ndiyo siasa safi ya ccm kuwagawa watu kwa kabila na dini zao, wameishiwa hoja badala yake wameamua kuwatenganisha kwa tabaka.

Kikao kinaendelea tutawajuza. Ila Wazee wamekataa kuandamana kumpinga mbunge Lema. Kuna vijana wengi sana wapo kwenye kikao, nadhani baada ya muda mgawo ukianza kutembea tutasikia kauli ya vijana wenzetu.

Hivi ninapotuma taarifa hii, kuna taarifa nyingine kuwa OCD ameagiza Red Brigade pamoja vijana wote wenye element ya chadema kukamatwa na kuwekwa ndani mara moja.
Hiyo shughuli kimsingi ilishaanza tokea jana usiku baada ya kikao cha OCD na Viongozi wa CCM chini ya uenyekiti wa Stephen Wassira na Ole Medeye kilichofanyika SG Resort

Nitaendelea kuwajuza kinachojiri kwenye kikao cha technical​


Yaani mambo wanayoyafanya ccm ni aibu tupu,kama wehu vile.Wanajitahidi kupandikiza chuki itakayoleta maafa mpaka katika vizazi vyao sijui hawaoni au!!!!?aakh.
 
Ts too much wana Arusha tumechoka sasa na haya maandamano biashara znasmama, huu ni msmu wa utalii(High Season) bt kila sku ni vurugu mbona hawaend Moshi kufanya vurugu na maandamano...mbona mikoa mingine ina CHADEMA lakini migogoro haitokei tunataka sasa mbowe apeleke maandamano moshi vijana wa Arusha tumechoka ata watalii wameanza kuogopa kuja Arusha wanacancel safari kwa kweli sasa tumechoka maandamano wapeleke moshi..

Mungu na akusamehe tu.
 
Back
Top Bottom