Kama unakijua hicho kitu si ukiweke wazi, kuliko kuweweseka kuna kitu??Mbona Slaa, Mbowe wameshindwa kwenda kumjulia hali Zitto, sio bure kuna kitu
Kama unakijua hicho kitu si ukiweke wazi, kuliko kuweweseka kuna kitu??
Mbona Slaa, Mbowe wameshindwa kwenda kumjulia hali Zitto, sio bure kuna kitu
Mzee,hawawezi kwenda, nafsi zinawasuta kwa walichomfanyia mwenzao.
Hongera sana Invisible!Mzee,
Tuandike vitu vyenye uhakika, kwenye kuugua mtu msiingize propaganda, haijalishi ni CCM au CUF hata CDM.
Slaa alienda Aga Khan hosp, Mutemelwa alikuwa hosp full time, Dr. Kitila kila siku alikuwapo.
Mbowe sijajua, ila hao niliowataja nina uhakika maana Dr. Kitila alitufahamisha afya ya ZK inavyoendelea akiwa hosp na mwandishi wetu ndo alitoa taarifa ya awali juu ya ZK kuugua na kusema kuwa atapelekwa India japo baadhi ya watu wakaongea via Clouds kuwa haendi na sasa tunaona kapelekwa.
Tuliandika hapa kuwa tatizo la ZK lilikuwa ni kichwa kwa zaidi lkn bado uchunguzi unaendelea, akatokea mtu akasema kuwa ZK anaendelea vema na anaachiwa, hii ilikuwa inapelekea watu kudhani labda ZK si mgonjwa wakathubutu kudai yuko zake twitter tunamchulia.
Ila, ZK kama member wa JF tumtendee haki, tusimwingize kwenye siasa za namna hii, tumwombee apone kama mwana JF na akishapona tuendelee na siasa zetu, mawe yarushwe lakini si kwa fujo, bali kiungwana na tumkome nyani giladi mchana kweupe!
Hivi kweli inaingia akili Zitto Kabwe anaumwa kalazwa siku siku 4 hospital hakuna hata kiongozi mmoja wa CDM aliokwenda kumjulia hali!...
Sasa jiulize kwa nini Dr Slaa, Mbowe, Lissu, Mnyika, hawakwenda kumuona Zitto
Mchango mzuri mkuu.Katika tasnia ya habari kuna huu msemo: Tembo kumuua sisimizi si habari bali sisimizi kumuua Tembo. Labda niongeze na wa kwangu: Mama kumnyonyesha mtoto si habari labda kichanga kumnyonyesha Mmama!
Poor thinking, and sad to say that.Hongera sana Invisible!
Naona umepewa cheo cha msemaji mkuu wa Chadema.
Hongera sana Invisible!
Naona umepewa cheo cha msemaji mkuu wa Chadema.
Mbona Slaa, Mbowe wameshindwa kwenda kumjulia hali Zitto, sio bure kuna kitu
As a nation we have reached so low hata kwenda kumuona mgonjwa lazima tuite vyombo vya habari! Mufilisi.
Kingine, kama kuna mtu aliyekaribu na huyu mtoto wa mkulima (Pinda) basi amkumbushe ili awe anatazamana na mtu wakati wanasalimiana. Pinda ana tabia ya kutomwangalia mtu machoni wakati ana-shake hands. Tafsiri ya hii ni mbaya sana na kwenye jamiii nyingine ataonekana kama sio mtu mkweli. Nilidhani viongozi wetu wanapata tuition kidogo kuhusu 'etiquette'.