Waziri mkuu na sukari ya kagera

mbinayamaswa

Member
Feb 26, 2011
9
0
Inashangaza waziri mkuu anapotoa tamko harafu linashindwa kutekelezwa , katika ziara aliyofanya mkoani kagera alikemea kupanda kwa bei ya sukari ukizingatia kunakiwanda 70km kutoka bukoba manicipal , lakini hakuna hata godown la sukari bk ,sukARI ikizalishwa inapelekwa mza, wafanyabiashara wanachukulia mza, kinachosikitisha bei ya sukari iko 1900 hadi 2000, na bunge akiwa hapahapa inavyoonekana kunamkono wa wakubwa kama mbunge ,wana jf wananchi wafanye nini kama mawaziri wanatoa ahadi na hazitekelezeki? :panda:
 
Pinda alitaka watanzania wasikie kwamba serikali iko pamoja na wananchi kumbe ni usanii mtupu.
 
Inashangaza waziri mkuu anapotoa tamko harafu linashindwa kutekelezwa , katika ziara aliyofanya mkoani kagera alikemea kupanda kwa bei ya sukari ukizingatia kunakiwanda 70km kutoka bukoba manicipal , lakini hakuna hata godown la sukari bk ,sukARI ikizalishwa inapelekwa mza, wafanyabiashara wanachukulia mza, kinachosikitisha bei ya sukari iko 1900 hadi 2000, na bunge akiwa hapahapa inavyoonekana kunamkono wa wakubwa kama mbunge ,wana jf wananchi wafanye nini kama mawaziri wanatoa ahadi na hazitekelezeki? :panda:
Serikali haifanyi kazi namna hiyo. Ili agizo la serikali liwe na nguvu ya kutekelezwa lazima litolewe kwa maandishi kama waraka wa serikali likiainisha ni hatua gani zitachukuliwa kama agizo litakiukwa. Maagizo kama hayo pia huchapishwa katika gazeti la serikali na kutajwa tarehe ya kuanza kufanya kazi (effective date). Haya matamko au maagizo wanayotoa JK, Pinda na Mawaziri wengine ni hadaa kwa umma. Ndiyo maana watu wenye kuelewa wanayapuuzia. Kama kuna sheria zinazovunjwa wangeagiza vyombo husika vizitumie hizo sheria kuwashughulikia wakiukaji. Tatizo la kupanda bei ya sukari ni la uendeshaji mbovu wa uchumi. Wakosaji wakubwa hapa ni JK na timu yake siyo wafanyabiashara.
 
Back
Top Bottom