Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
How is copulation done? Using dildo? Hawa wenzetu dhambi hii hawajaanza leo, imekuwa kama kawaida kwao ndio maana wanaweka kwenye sheria zao. Siku za mwisho zimeaanza, kwani kisayansi jua limebakiza nusu ya uwepo wake, hivyo tuko kwenye ngwe ya mwisho, na muda uliobaki ni miaka bilioni 5 (Google 'the Sun life span'), sasa fikiria mpaka kufika huko hali itakuwaje?
Hii ni laana tupu
kafuata hisia zake jamn:twitch::twitch:
Akiachwa kila mtu afanye anachotaka dunia haitakalika kwa maasi.Right?
... Mnamjua maisha yake yameendaje mpaka ajkawa hivyo?
Let the old girl lead her life the way she chooses, as long as hajakuingilia kwenye 18 zako.
Akiachwa kila mtu afanye anachotaka dunia haitakalika kwa maasi.
Right?
Waziri mkuu wala hajawahi kunifuata na kuniuliza kwa nini napenda wanawake na siwataki wanaume wenzangu, na mimi siwezi kuuliza kwa nini anapenda wanawake wenzake na hapendi wanaume.Simjui kihivyo ati.
Haya mambo ya judgement hata huyo Yesu kwa wale waamini aliwaambia asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kutupa jiwe, not saying kwamba hii ni dhambi exactly.
I mean I am not even Icelandic an I cannot even use the excuse that she is my PM, although even in that case it could be argued kwamba this is her private life. Mnamjua maisha yake yameendaje mpaka ajkawa hivyo?
Let the old girl lead her life the way she chooses, as long as hajakuingilia kwenye 18 zako.