Nawapenda sa UKAWA ila hotuba ya SUMAYE ilikua ni mbaya kuliko hotuba zote anajiona yeye ni mjuaji kuliko viongozi wa UKAWA yaani kanichefua mno ningekua ukumbini ningeinuka kumpinga baadhi ya maneno yake aache dharau maramoja na hilo jambo aambiwe asijifanye anjua kuliko viongozi wa ukawa.
Kipi kilikuudhi pale ndiyo mwisho wa upeo wake