Na pia hatua ya kukataza viroba imepunguza Sana hasa kwenye ajali za bodabodaTrafiki wametubana vilivyo na matunda yameanza kuonekana
Hujawahi kupita wewe kama hujui tuaulize tukuambie miji yenye trafikipolisi na vituo vya polisi kwa ujumla kuna sehemu huyo ina korongo liiittwalo "kaburi wazi"magari hutumbumbukia na mizigo yao halafu unakuja kubanile pua hapa.Hakuna Trafiki huko?Ajali zote huwa zinaripotiwa polisi ni chache sana ambazo haziendi polisi
Tatizo hili siyo la serikali kuu tu, serikali za mitaa ndio ballaa zaidi kwa data cooking.Kama ni kweli ni jambo zuri, ila tatizo kubwa la serikali ya awamu hii inapika data fake sana kufurahisha washangiliaji
Matukio ya ajali za bararani yamepungua kutoka ajali 9856 mwaka 2016, ajali 5578 mwaka 2017 na kufikia ajali 3209 katika kipindi cha Januari hadi Oktoba 2018.
ww utakuwa wa uvinza kweli maana huu ubishi unapatikana kwa waha tu,ushaambiwa ajali zote huripotiwa hata ikitokea kiomboi huko bado unabisha,una uhakika kwny hizo takwimu ajali za uvinza ni excluded?????Takwimu za barabara kuu mbili ndio mnajisifia ingia bara bara ya uvinza Mpanda hadi Tabora RungweMbea mpaka Tabora.
Hujawahi kupita wewe kama hujui tuaulize tukuambie miji yenye trafikipolisi na vituo vya polisi kwa ujumla kuna sehemu huyo ina korongo liiittwalo "kaburi wazi"magari hutumbumbukia na mizigo yao halafu unakuja kubanile pua hapa.
Wewe uhutu wako mbon nauona kwa kuitetea serikali ya kihutuww utakuwa wa uvinza kweli maana huu ubishi unapatikana kwa waha tu,ushaambiwa ajali zote huripotiwa hata ikitokea kiomboi huko bado unabisha,una uhakika kwny hizo takwimu ajali za uvinza ni excluded?????
Janga kuu hiloMfuko huu wa PSSSF ni ajali kwa wastaafu. CCM haina huruma kwa watumishi wa umma.
hahahahahahaaaaaa,yaani bora babaako angekuwa hata CHAPUTA kuliko kuzaa toto popoma (in gentamycine's voice) Kama ww,ushaambiwa kuwa PM ametoa ripot Kama ilivyoripotiwa na vyombo vyenye dhamana bado unataka kutuaminisha kuwa ajali za uvinza sjui mbeya hazjaripotiwa,hela alotumia babaako kukupeleka shule bora angenunua ng'ombe kuliko hii fedheha unayompatiaWewe uhutu wako mbon nauona kwa kuitetea serikali ya kihutu
Umemquote mhutu mwenzako ambaye yuko Gitarama anafyonza Rugwagwahahahahahahaaaaaa,yaani bora babaako angekuwa hata CHAPUTA kuliko kuzaa toto popoma (in gentamycine's voice) Kama ww,ushaambiwa kuwa PM ametoa ripot Kama ilivyoripotiwa na vyombo vyenye dhamana bado unataka kutuaminisha kuwa ajali za uvinza sjui mbeya hazjaripotiwa,hela alotumia babaako kukupeleka shule bora angenunua ng'ombe kuliko hii fedheha unayompatia
KutokomezaOk,ni hatua nzuri!Ni vema lakini wakatuambia projection yao ni kupunguza ajali kwa kiwango gani
Hawa huwa wanafananishwa na wale wavukao mto marahahahahahahaaaaaa,yaani bora babaako angekuwa hata CHAPUTA kuliko kuzaa toto popoma (in gentamycine's voice) Kama ww,ushaambiwa kuwa PM ametoa ripot Kama ilivyoripotiwa na vyombo vyenye dhamana bado unataka kutuaminisha kuwa ajali za uvinza sjui mbeya hazjaripotiwa,hela alotumia babaako kukupeleka shule bora angenunua ng'ombe kuliko hii fedheha unayompatia