johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,962
- 141,961
Waziri Mkuu mh Majaliwa amesema bara la Afrika kwa sasa linapambana na wimbi la 4 la covid 19 hivyo watanzania tuendelee kuchukua tahadhari.
Majaliwa amesema hadi sasa watanzania 725 wameripotiwa kufariki kwa Corona tangu ugonjwa huo uanze.
Chanzo: ITV habari
Majaliwa amesema hadi sasa watanzania 725 wameripotiwa kufariki kwa Corona tangu ugonjwa huo uanze.
Chanzo: ITV habari