Usanii mwingine wa TISS na ccm unakuja. Hakuna tiba hapo.
Mrema alitumika kwa nafasi yake ya u-tiss akadai kapona kisukari mbona anazidi kuchoka tu kila kuukicha?? Aua anatumia carolite?? Aua laana ya usaliti??
Huyu babu ningekuwa presda ningempiga marufuku na kumfunga jela mara moja.