Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Tatizo letu ni kulalamika na kukosoa hata kama hatuifahamu habari kwa undani. Kule Tabora rais alikerwa na wenye mabango kuyasimamisha wakati nyuma yao kuna watu wanataka kumuona yeye akitoa hotuba.Hajui kama boss wake anayakataa???hii nchi full of confusion,no chain of command. Kila mtu anatamka la kwake
kwani issue ni yeye kuonekena au ni yeye kusikika anachokisemaTatizo letu ni kulalamika na kukosoa hata kama hatuifahamu habari kwa undani. Kule Tabora rais alikerwa na wenye mabango kuyasimamisha wakati nyuma yao kuna watu wanataka kumuona yeye akitoa hotuba.
Mabango hubeba ujumbe wa maisha halisi ya watu. Tatizo ni utaratibu mbovu unaokuwepo ambapo wenye mabango wanafikiri wapo peke yao tu, wakati rais au kiongozi anahutubia wananchi.
Tatizo la nchi hii ni Magufuli tu, lakini hawa viongozi wengine wakuu kama Waziri mkuu Majaliwa na Makamu wa Rais hawana tatizo kabisa.
Issue ni kusikika na kuwaona wale anaowahutubia.kwani issue ni yeye kuonekena au ni yeye kusikika anachokisema
You might be right,lakini Mimi sio mjinga na mpuuzi kama unavyonifikiria eti nianze kupinga.Tatizo letu ni kulalamika na kukosoa hata kama hatuifahamu habari kwa undani. Kule Tabora rais alikerwa na wenye mabango kuyasimamisha wakati nyuma yao kuna watu wanataka kumuona yeye akitoa hotuba.
Mabango hubeba ujumbe wa maisha halisi ya watu. Tatizo ni utaratibu mbovu unaokuwepo ambapo wenye mabango wanafikiri wapo peke yao tu, wakati rais au kiongozi anahutubia wananchi.
Siyo majumbani mwao tu, bali wakayatandike kwenye vitanda vya wake zao wawagegedee hapo! Busara haiuzwi gulioni! Huyu PM atatumbuliwa muda si mrefu yaani anabishana na Malaika Mkuu Gabriel?Wakati Magufuli Aliwaambia Wakayatandike Walalie Majumbani Mwao
Mkuu ni rais huyu huyu aliyetoka jukwaani na kwenda walipo wenye mabango na kuyasoma siku ile pale uwanja wa Tanganyika, halafu mkuu wa mkoa na wilaya wakapewa maagizo ya kushughulikia yale yaliyoandikwa kwenye mabango hayo.You might be right,lakini Mimi sio mjinga na mpuuzi kama unavyonifikiria eti nianze kupinga.
Unaelekea umeanza kufuatilia hizo habari za mabango juzi,kaulize siku ya wafanyakazi kilitokea nini Ndio ujue na hoja za tatizo letu kulalamika na kukosoa. Usijikute unajua kila kitu mean while umeanza kufatilia mabango jana
You jer.k usinitibue Mimi. Si aliwatoa watu nje na mabango yao. We vipi??Mkuu ni rais huyu huyu aliyetoka jukwaani na kwenda walipo wenye mabango na kuyasoma siku ile pale uwanja wa Tanganyika, halafu mkuu wa mkoa na wilaya wakapewa maagizo ya kushughulikia yale yaliyoandikwa kwenye mabango hayo.
My friend are you stupid?. Aliwatoa watu nje kivipi wakati wale watu waliingia uwanjani na mabango yao?.You jer.k usinitibue Mimi. Si aliwatoa watu nje na mabango yao. We vipi??
I'm not stupid,you are. Ushahidi upo Hadi humu jf kuna Uzi mtu akauliza kwanini rais anatoa watu wenye mabango yao wakati wao wanaelezea kero zao. Kama hujui pole yako na umepitwa na mengi you bratMy friend are you stupid?. Aliwatoa watu nje kivipi wakati wale watu waliingia uwanjani na mabango yao?.
Sio kila kitu kinapingwa tu, uwe na ushahidi wa kutosheleza kabla hujaandika kitu humu JF.
Maserati unaendeleza ligi ya maneno, isiyo na msaada kwako wala kwangu. Rais hajayakataa mabango, alikataa uhuni wa watu wachache pale Tabora, ambao aliwaambia wayashushe kwanza ili aweze kuhutubia halafu baadae ndipo atayasoma ili utatuzi ufuate. Yule aliyetukanwa pale uwanjani, ilikuwa ni kwa sababu ya ukaidi wake na sio kwa sababu ya ujumbe wa kilichoandikwa.I'm not stupid,you are. Ushahidi upo Hadi humu jf kuna Uzi mtu akauliza kwanini rais anatoa watu wenye mabango yao wakati wao wanaelezea kero zao. Kama hujui pole yako na umepitwa na mengi you brat
Hahahahaha!Dk. Bana anaamini bado siku yake ipo
Maserati unaendeleza ligi ya maneno, isiyo na msaada kwako wala kwangu. Rais hajayakataa mabango, alikataa uhuni wa watu wachache pale Tabora, ambao aliwaambia wayashushe kwanza ili aweze kuhutubia halafu baadae ndipo atayasoma ili utatuzi ufuate. Yule aliyetukanwa pale uwanjani, ilikuwa ni kwa sababu ya ukaidi wake na sio kwa sababu ya ujumbe wa kilichoandikwa.
Wapo wa aina yako wewe, ambao hupenda kuona kunatokea misunderstandings kati ya Rais na mawaziri wake, ni kweli sintofahamu huwa zinajitokeza baina yao.
Lakini this time kwenye suala la mabango, kati ya Rais na waziri mkuu hakuna sintofahamu iliyojitokeza, ni uelewa mdogo wa baadhi yetu unaotumika kupotosha ukweli wa jambo husika.
Mkuu umekuza mambo, hili ni dogo sana. Inawezekana kweli kila mtu anakuja na mawazo yake halafu wa juu yake anayatengua. Huo ni utaratibu wa kazi wa dunia nzima, hawaongozi malaika bali ni wanadamu, wenye kufanya makosa.Uhuni UPI??? Watu wasielezee shida zao mnauita uhuni??you not serious guy.
Misunderstand ya rais na mawaziri wake hiyo vipi?? Hii awamu Naona chain of command,kila mtu anakuja na mawazo yake kesho yake yanapinduliwa,huyu mnaongea hili anapinga aliloliota mwnzie. Agree or reject but that's the truth...