Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Tuna taka 40 yake.
Yaani haiingi akilini msaidizi binafsi wa m\kiti wa chama apotee halafu efforts zinazotumika na chama ni ndogo kiasi hichi. Mbowe anajua Ben yuko wapi. Pia nilitegemea press release ya Ben iwe kivyake...sasa shangaa hapo kwenye taarifa yao kaanza kutajwa faru then Ben kadokezewa tu kwa mistari kadhaa...huhitaji kuwa mtaalamu wa roketi kung'amua haka ka-soap opera