......
Kubwa linaloisukuma Serikali ni kutangazwa habari zetu nje. Inadaiwa kuwa vyombo vya nje vinatuchafua na vina wivu. Sasa,nina taarifa kuwa kuna waandishi wa kimataifa wametinga Kiteto kurekodi dhahama ya kule. Wanatengeneza Documentary juu ya mauaji yanayoendelea Kiteto kati ya wakulima na wafugaji.
......
Yaani ni aibu sana,waandishi wetu wazalendo wamelala usingizi wakisubiri bahasha za khaki.Hivyo bado tupo mbali sana na hawa wazee wa bahasha.
Hapa nitahitaji kuelimishwa zaidi.....mara nyingi (kulingana nahabari za kivita nilizowahi kuzipitia)waandishi (wanokuwa kwenye uwanja wa mapambano) huwa wanaambatana na vikosi vya majeshi husika kwenye mapigano hayo. Ama wanakuwa upande huu ama upande ule (wanakuwa wanalindwa na upande husika). Mfano kwa mtafaruku wa Ukreine ...utakuta majeshi ya serikali iliyowekwa na US+EU inakuwa na waandishi ama wa BBC,et.al wakati wale wa ukreine ya mashariki wanakuwa na waandishi wa RT, et.al.
Sasa naomba kukuuliza, hao waandishi hao wa kimataifa wanaotengeneza Documentary wako upande wa Wafugaji ama upande wa Wakulima?
.
Hili Mh. Membe hatahusika kukanusha ni waziri wa mambo ya ndani anatakiwa kulisemea.
waandishi wetu wapo bize na kambi za urais ndugu
Nilidhani umeandika namna gani ya kumaliza mgogoro wa kiteto kumbe unaandika kusifia wandishi wa kimataifa nenda na wewe wakakuhoji.
Nazungumza nawe Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Camilius Membe. Umekuwa na ari kubwa kukanusha kila suala la Tanzania linalojichomoza kimataifa. Unakanusha kila jambo hasa litangazwalo na vyombo vya habari vya kimataifa.
Ulianza na suala la Malawi kuhusu mpaka wa Ziwa Nyasa. Ukafuata suala la Balozi wa China aliyepanda jukwaa la CCM na kuhutubu. Tena,ukakanusha kuhusu ndege ya Rais wa China kubeba pembe za ndovu. Serikali yako pia ilikanusha kwa nguvu filamu ya Nightmare na uwindaji haramu.
Kubwa linaloisukuma Serikali ni kutangazwa habari zetu nje. Inadaiwa kuwa vyombo vya nje vinatuchafua na vina wivu. Sasa,nina taarifa kuwa kuna waandishi wa kimataifa wametinga Kiteto kurekodi dhahama ya kule. Wanatengeneza Documentary juu ya mauaji yanayoendelea Kiteto kati ya wakulima na wafugaji.
Wameshaanza kazi. Wanaendelea. Wakimaliza watatangaza mauaji hayo katika vyombo mbalimbali vya kimataifa vya habari kwa njia ya sauti na video. Nakuomba Waziri Membe uandae kanusho. Utalitumia punde. Usichelewe.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Nazungumza nawe Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Camilius Membe. Umekuwa na ari kubwa kukanusha kila suala la Tanzania linalojichomoza kimataifa. Unakanusha kila jambo hasa litangazwalo na vyombo vya habari vya kimataifa.
Ulianza na suala la Malawi kuhusu mpaka wa Ziwa Nyasa. Ukafuata suala la Balozi wa China aliyepanda jukwaa la CCM na kuhutubu. Tena,ukakanusha kuhusu ndege ya Rais wa China kubeba pembe za ndovu. Serikali yako pia ilikanusha kwa nguvu filamu ya Nightmare na uwindaji haramu.
Kubwa linaloisukuma Serikali ni kutangazwa habari zetu nje. Inadaiwa kuwa vyombo vya nje vinatuchafua na vina wivu. Sasa,nina taarifa kuwa kuna waandishi wa kimataifa wametinga Kiteto kurekodi dhahama ya kule. Wanatengeneza Documentary juu ya mauaji yanayoendelea Kiteto kati ya wakulima na wafugaji.
Wameshaanza kazi. Wanaendelea. Wakimaliza watatangaza mauaji hayo katika vyombo mbalimbali vya kimataifa vya habari kwa njia ya sauti na video. Nakuomba Waziri Membe uandae kanusho. Utalitumia punde. Usichelewe.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Kwahiyo unafurahia Tanzania ikisemwa vibaya na wasioitakia mema?
Kwahiyo unafurahia Tanzania ikisemwa vibaya na wasioitakia mema?
kwa inshu kama hiyo ya kiteto wangekuwa wana nia nzuri hawa viongozi wa Tanganyika wangeshachukua hatua...wanaofichua ndo wanaitakia mema wanataka tujirekebisheKwahiyo unafurahia Tanzania ikisemwa vibaya na wasioitakia mema?