ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,085
- 49,789
Hatimaye kazi za ujenzi wa Barabara kwenye Miji 12 ya awali via TACTIC inaenda kuanza baada ya Wakandarasi kutoa Saini ya kuanza Ujenzi wake.
Jumla ya km 147 zia lami na taa zake zitajengwa Nchi nzima ambapo mradi utatumia zaidi ya Sh.Trilioni 1 Hadi kukamilika kwake na kuifikia Miji 45.
View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1705564221063200805?t=OTtwcUj23aea1-EWXBk97A&s=19
Kazi nzuri sana hii
View: https://www.instagram.com/p/CxiE_C4L6FP/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Jumla ya km 147 zia lami na taa zake zitajengwa Nchi nzima ambapo mradi utatumia zaidi ya Sh.Trilioni 1 Hadi kukamilika kwake na kuifikia Miji 45.
View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1705564221063200805?t=OTtwcUj23aea1-EWXBk97A&s=19
Kazi nzuri sana hii
View: https://www.instagram.com/p/CxiE_C4L6FP/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==