The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,589
- 14,136
Nawasalimu kwa jina la JMT..
Baada ya elimu,vituo vya afya,Kilimo na Sasa ni zamu ya sekta ya Maji..
Kwa mujibu was Waziri WA Maji Jumaa Aweso,Rais wa JMT mapema mwezi ujao anatarajia kuweka rekodi nyingine kwa kutia Saini utekelezaji wa Ujenzi wa miradi ya Maji kwenye miji 28 Nchi nzima..
Mradi huo utakaohusisha fedha za mkopo dola za Marekani milioni 500 kutoka Serikalini ya India utazinduliwa na Rais Mwezi wa 6..
Ikumbukwe mradi huu ulikwama toka 2017 kwa Serikali ya India Kigoma kutoa pesa za mradi kwa sababu za kukosa maelewano na Serikali ya Tanzania.
Hatimaye Rais Samia ameukwamua mradi huo na Sasa pesa iko kutumika na mradi kuanza utekelezaji wake mara moja.
Jumla ya Miji 28 Nchi nzima itanufaika na mradi huu hivyo hadi kukamilika kwake ,inatarajiwa kiwango Cha upatikanaji wa Maji safi na salama mijini kufikia zaidi ya 90%..
Hongera sana mh.Rais kwa kuonyesha uongozi kwa vitendo na matokeo chanya 👇
Baada ya elimu,vituo vya afya,Kilimo na Sasa ni zamu ya sekta ya Maji..
Kwa mujibu was Waziri WA Maji Jumaa Aweso,Rais wa JMT mapema mwezi ujao anatarajia kuweka rekodi nyingine kwa kutia Saini utekelezaji wa Ujenzi wa miradi ya Maji kwenye miji 28 Nchi nzima..
Mradi huo utakaohusisha fedha za mkopo dola za Marekani milioni 500 kutoka Serikalini ya India utazinduliwa na Rais Mwezi wa 6..
Ikumbukwe mradi huu ulikwama toka 2017 kwa Serikali ya India Kigoma kutoa pesa za mradi kwa sababu za kukosa maelewano na Serikali ya Tanzania.
Hatimaye Rais Samia ameukwamua mradi huo na Sasa pesa iko kutumika na mradi kuanza utekelezaji wake mara moja.
Jumla ya Miji 28 Nchi nzima itanufaika na mradi huu hivyo hadi kukamilika kwake ,inatarajiwa kiwango Cha upatikanaji wa Maji safi na salama mijini kufikia zaidi ya 90%..
Hongera sana mh.Rais kwa kuonyesha uongozi kwa vitendo na matokeo chanya 👇