Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,621
Waziri wa uchukuzi na mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewasimamisha kazi watendaji 4 wa kampuni ya huduma za meli Mwanza kutokana na kufanya kazi kinyume na sheria za utumishi.
Walio simamishwa ni Kaimu meneja mkuu Fabian Mayenga,Mwanasheria Josephat Mshumbusi Kaimu Meneja Ununuzi Abdallah Rumila pamoja na meneja miradi Alex Mchaura.
Walio simamishwa ni Kaimu meneja mkuu Fabian Mayenga,Mwanasheria Josephat Mshumbusi Kaimu Meneja Ununuzi Abdallah Rumila pamoja na meneja miradi Alex Mchaura.