Waziri Makamba, kwenye umeme tunaweza kuwekeza wenyewe, tujikite hapo

I am telling you wale jamaa wa ‘twitter republic’ wangekuwa wanapenda kufuatilia mambo ya astrophysics sasa hivi ungekuta wanajadili mipango ya Tanzania kufikiria space mining; kwa budget hii hii sh trillion 34.

Uwaga wanashauriana upuuzi na kupongezana sijapata kuona; January is always over ambitious and clueless on energy sector. He is biting more than he can chew on his energy policy approach.

Hata sijui ana pursue strategy gani wakati TANESCO wana mipango yao tayari; tatizo la shirika ni operational issues. Hajatatua matatizo ya msingi kwa mujibu ya malalamiko ya watumia huduma anaangaika ovyo ovyo kama headless chicken na mambo mengine kabisa.
 
Haka katoto ni ka useless tangia zamani ila basi tuu, tukiongea sana tunaitwa sukuma gang shenzy kabisa
 
Mimi binafsi ni mfuasi wa ushirikiano na watu wengine, siamini kabisa kwenye kujitenga. Hivyo hatua yoyote inayochukuliwa kuimarisha mahusiano naunga mkono 100%

Ni kweli mahusiano yetu hayakuwa mazuri kwa kupind Cha awamu iliyopita ya yule mtu.

Lakini haimaanishi sasa kila kitu tutegemee wengine, tulishaona pia madhara yake huko siku za nyuma.
Kwenye suala la umeme nimeona mh. Makamba akienda kuzungumza na ubalozi wa US pamoja na ubalozi wa Uholanzi kwa lengo la kusaidia uwekezaji kwenye umeme.

Hapa ndio naona tatizo lipo, ni kweli kabisa kweye umeme hatuwezi kujitegemea wenyewe? Hatuwezi kuzalisha umeme wenyewe?

Bado nashinda kuelewa dhana nzima ya kuomba uwekezaji kwenye umeme ni nini, ni lini kwenye mambo Kama haya tutaacha utegemezi?

Yalishatokea miaka ya nyuma makampuni Kama symbiom na Dowans kuifilisi Tanesco, tunataka tena turudi huko?

Kwanini mikakati isiwe kuifanya Tanesco ijitegemee badala ya kutegemea makampuni ya nje kuja kuwekeza huku yakiishia kuifilisi Tanesco kwa mikataba ya ajabu?

Ninaamini kwenye umeme tunaweza wenyewe Kama watanzania, hivyo kuomba uwekezaji kwa mataifa ya nje sio sahihi.

Kwenye sekta ya uchimbaji gesi nauunga mkono uwekezaji kwa kuwa bado hatupo vizuri eneo hilo, Ila uwekezaji kwenye kutuuzia umeme Hapana.
View attachment 1968979View attachment 1968980

Siyo rahisi kuacha utegemezi. Sera nyingi za nchi ambazo zinagusa uchumi huwa zinatengenezwa nje ya nchi. Zinapendekezwa na World Bank, IMF, na nchi zinazotoa mikopo na misaada. Ukiona serikali inakaribisha uwekezaji kwenye sekta fulani ujue ni lazima World Bank wamependekeza serikali wafanye hivyo. Na serikali haina nguvu ya kupinga. Nyerere mwenyewe alishindwa. Alikuwa hai anaangalia Mwinyi anauvuruga ujamaa wake, anaufungua uchumi, anabinafsisha mashirika ya umma. Nyerere akabaki kukasirika na kuona Mwinyi anaitwa Mzee Rukhsa. Alichofanya Mwinyi reforms zilizopendekezwa na Benki ya Dunia ili waendelee kuikopesha Tanzania. Kwa hiyo chochote watakachopendeza hao wakopeshaji wetu lazima tutakifanya.
 
Prof Muhongo alisema watanzania level zetu ni kuwekeza kwenye juisi na maji...mo tu zile 20 billions haijulikani zipo wapi ndio ujaribu kumpa umeme ?🐒🤣
 
Ni kampuni gani ya Serikeli iliwahi kufanikiwa?
Ni ipi ya kigeni iliwahi kufanikiwa zaidi ya kutunyonya? Ni IPTL,SIMBION au DOWANS kwa ufahamu wangu wote walikuwa majizi ya kutamalaki mnataka kuturudisha huko? Safari hii tunanyie.
 
Siyo rahisi kuacha utegemezi. Sera nyingi za nchi ambazo zinagusa uchumi huwa zinatengenezwa nje ya nchi. Zinapendekezwa na World Bank, IMF, na nchi zinazotoa mikopo na misaada. Ukiona serikali inakaribisha uwekezaji kwenye sekta fulani ujue ni lazima World Bank wamependekeza serikali wafanye hivyo. Na serikali haina nguvu ya kupinga. Nyerere mwenyewe alishindwa. Alikuwa hai anaangalia Mwinyi anauvuruga ujamaa wake, anaufungua uchumi, anabinafsisha mashirika ya umma. Nyerere akabaki kukasirika na kuona Mwinyi anaitwa Mzee Rukhsa. Alichofanya Mwinyi reforms zilizopendekezwa na Benki ya Dunia ili waendelee kuikopesha Tanzania. Kwa hiyo chochote watakachopendeza hao wakopeshaji wetu lazima tutakifanya.
Si kweli hapa unaweka madoido ili kurahisisha upigaji wenu
 
Siyo rahisi kuacha utegemezi. Sera nyingi za nchi ambazo zinagusa uchumi huwa zinatengenezwa nje ya nchi. Zinapendekezwa na World Bank, IMF, na nchi zinazotoa mikopo na misaada. Ukiona serikali inakaribisha uwekezaji kwenye sekta fulani ujue ni lazima World Bank wamependekeza serikali wafanye hivyo. Na serikali haina nguvu ya kupinga. Nyerere mwenyewe alishindwa. Alikuwa hai anaangalia Mwinyi anauvuruga ujamaa wake, anaufungua uchumi, anabinafsisha mashirika ya umma. Nyerere akabaki kukasirika na kuona Mwinyi anaitwa Mzee Rukhsa. Alichofanya Mwinyi reforms zilizopendekezwa na Benki ya Dunia ili waendelee kuikopesha Tanzania. Kwa hiyo chochote watakachopendeza hao wakopeshaji wetu lazima tutakifanya.
Si kweli hapa unaweka madoido ili kurahisisha upigaji wenu
 
Guys let us be serious!

Hivi Tanesco hii yetu inaweza kujiendesha yenyewe? I-genetate na kusupply umeme yenyewe? Kwa mtaji upi ilionao?

Mpaka sasa shirika hili la Umma linajiendesha kwa hasara ya mabilioni kwa kila mwezi. Hivyo serikali kulazimika kuipa ruzuku Tanesco.

Bei ya umeme anayouziwa mwanachi kwa unit ni ndogo ukilinganisha na shirika linavyozalisha hiyo unit. Huko ni hasara tupu.

Sasa hivi shirika linasambaza umeme mijini na vijijini kwa mteja kulipia Tshs. 27,000/= tu. Hapo tulishuhudia miaka mingi umeme ukiwa mijini tu lakini kwa ufadhili wa hao hao mnaowaita mabeberu ukazaliwa mradi wa REA tukaona unanufaisha vijiji vyetu kwa kupata umeme mpaka na wengine wakajipatia sifa ambazo sio zao kupitia mradi huo lakini hela zilikuwa ni za mabeberu hayo hayo.

Watanzania tunasahau sana umeme ukikosekana ndio wa kwanza kulaumu lakini shirika likishindwa kuwaunganishia wateja tena napo ni kelele nyingi mno hivi mnadhani serikali hizo hela inazitoa wapi?
 
Back
Top Bottom