Kama Bwawa liko tayari na Mifuniko ipo tatizo pekee ni Crane Watanzania mbalimbali wameshasema Crane zipo. Maji yaanze kujazwa haraka
Tunajua unataka kuanza kujaza baada ya mvua kuanza ili Mwakani tuwe na tatizo la umeme kwa kisingizio cha Ukame hatutawakubalia.
Usalama wa Taifa wana wajibu mkubwa sana katika hili
Tunajua unataka kuanza kujaza baada ya mvua kuanza ili Mwakani tuwe na tatizo la umeme kwa kisingizio cha Ukame hatutawakubalia.
Usalama wa Taifa wana wajibu mkubwa sana katika hili