Waziri Makamba kama shida ni Crane, Watanzania wanasema zipo Maji yajazwe bila kuchelewa

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Kama Bwawa liko tayari na Mifuniko ipo tatizo pekee ni Crane Watanzania mbalimbali wameshasema Crane zipo. Maji yaanze kujazwa haraka

Tunajua unataka kuanza kujaza baada ya mvua kuanza ili Mwakani tuwe na tatizo la umeme kwa kisingizio cha Ukame hatutawakubalia.

Usalama wa Taifa wana wajibu mkubwa sana katika hili
 
Makamba anasema wameagiza hizo crane toka nje kwasababu zilihitajika za kuchimbia chini ila hazikuwepo hapa nchini, sasa sitaki kujua kama kweli hazikuwepo, ila kama alijua zinaweza kuagizwa toka nje kwanini akasema ile kazi isingewezekana kufanyika tena?

Makamba akiitwa mwizi asilalamike, ujanja ujanja wake akidhani hiki ni kizazi cha mwaka 47 kinadanganyika hovyo auache, tena kwa kauli zake, unyeti wa wizara yake, na rekodi yake ya nyuma ndio atafuatiliwa zaidi kwa kila atakachosema na kutenda, awe makini sana.
 
Makamba anasema wameagiza hizo crane toka nje kwasababu zilihitajika za kuchimbia chini ila hazikuwepo hapa nchini, sasa sitaki kujua kama kweli hazikuwepo, ila kama alijua zinaweza kuagizwa toka nje kwanini akasema ile kazi isingewezekana kufanyika tena?

Makamba akiitwa mwizi asilalamike, ujanja ujanja wake akidhani hiki ni kizazi cha mwaka 47 kinadanganyika hovyo auache, tena kwa kauli zake, unyeti wa wizara yake, na rekodi yake ya nyuma ndio atafuatiliwa zaidi kwa kila atakachosema na kutenda, awe makini sana.
Israel mtoto huchukua kabila la mama!
 
Zipo TPA, TICs 30 +++ Tones, CSI, Caspian na makampuni mengi yanazo, hitaji 26 tons
Screenshot_20211114-101209.jpg

View attachment 2009947
 
Makamba anasema wameagiza hizo crane toka nje kwasababu zilihitajika za kuchimbia chini ila hazikuwepo hapa nchini, sasa sitaki kujua kama kweli hazikuwepo, ila kama alijua zinaweza kuagizwa toka nje kwanini akasema ile kazi isingewezekana kufanyika tena?

Makamba akiitwa mwizi asilalamike, ujanja ujanja wake akidhani hiki ni kizazi cha mwaka 47 kinadanganyika hovyo auache, tena kwa kauli zake, unyeti wa wizara yake, na rekodi yake ya nyuma ndio atafuatiliwa zaidi kwa kila atakachosema na kutenda, awe makini sana.
Mi sijaelewa bado hizo crane anazosema zinatakiwa ni crane zipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makamba anasema wameagiza hizo crane toka nje kwasababu zilihitajika za kuchimbia chini ila hazikuwepo hapa nchini, sasa sitaki kujua kama kweli hazikuwepo, ila kama alijua zinaweza kuagizwa toka nje kwanini akasema ile kazi isingewezekana kufanyika tena?

Makamba akiitwa mwizi asilalamike, ujanja ujanja wake akidhani hiki ni kizazi cha mwaka 47 kinadanganyika hovyo auache, tena kwa kauli zake, unyeti wa wizara yake, na rekodi yake ya nyuma ndio atafuatiliwa zaidi kwa kila atakachosema na kutenda, awe makini sana.
Kwani hawakujua Kama Kuna muda hizo Cranes za kuchimbia zitahitajika, mbn kama wamestukizwa hivi au ndo anataka atafute hela ya Kampeni 2025
 
Makamba angezungumzia kwa ufasaha kuhusu configuration za hayo magati - angeeleweka. Labba zina awkward shape na volume - lakini kama anasema uzito ndio tatizo, amekosea sana na si busara kuchelewesha kazi kwa miezi 6 kutokana na tatizo linaloweza kumalizwa sasa hivi.

Akisema urefu wa crane naweza kumwelewa. Kuwa kwa sababu ya kina kirefu cha njia ya mto mbadala, inahitajika crane yenye sema mita 70. Huenda hiyo ndio changamoto. Sio uzito!

Lakini inakuwaje pia uagizwaji wa crane husikia haukufanywa mapema?? Kwa sababu mahitaji yake yalikuwepo toka wakati wa hatua za mwanzo kabisa ya uchorajo wa mradi. Au mkandarasi hajalipwa na mradi unasuasua na maelezo ya uongo yanapaswa kutolewa??? Nakumbuka maneno ya Makamu wa Rais “…….. kuna viongozi wa CCM wanakwamisha mtadi wa Bwawa la Nyerere….”
 
Hivi hizo crane hazipo kwenye plan ya mradi?

Kwa hiyo mkandarasi hakujua kwamba kuna wakati crane zitahitajika?

Makamba aache kutufunga kamba!
 
Makamba angezungumzia kwa ufasaha kuhusu configuration za hayo magati - angeeleweka. Labba zina awkward shape na volume - lakini kama anasema uzito ndio tatizo, amekosea sana na si busara kuchelewesha kazi kwa miezi 6 kutokana na tatizo linaloweza kumalizwa sasa hivi.

Akisema urefu wa crane naweza kumwelewa. Kuwa kwa sababu ya kina kirefu cha njia ya mto mbadala, inahitajika crane yenye sema mita 70. Huenda hiyo ndio changamoto. Sio uzito!

Lakini inakuwaje pia uagizwaji wa crane husikia haukufanywa mapema?? Kwa sababu mahitaji yake yalikuwepo toka wakati wa hatua za mwanzo kabisa ya uchorajo wa mradi. Au mkandarasi hajalipwa na mradi unasuasua na maelezo ya uongo yanapaswa kutolewa??? Nakumbuka maneno ya Makamu wa Rais “…….. kuna viongozi wa CCM wanakwamisha mtadi wa Bwawa la Nyerere….”
Kwa uelewa wangu, hydro electric dam inahitaji permanent crane, sio hizi movable cranes wanazopost wabongo. Nadhani factors kama idadi ya hayo mageti, urefu wa kuyanyenyua pia unazingatiwa.

Pia kwa utaalam wangu wa ujenzi, naamini hiyo crane ni sehemu ya structural design ya hilo bwawa. Ukileta movable crane, maana yake ni kua unaweka mzigo mahala ambapo sio pake. Tani 26 sio mchezo. Mnaweza jikuta mnaanza kuziba nyufa kwenye bwawa!

Ndio maana wanataka permanent crane, ambayo ni sehemu ya structural design kwenye hilo bwawa.
 
Kwa uelewa wangu, hydro electric dam inahitaji permanent crane, sio hizi movable cranes wanazopost wabongo. Nadhani factors kama idadi ya hayo mageti, urefu wa kuyanyenyua pia unazingatiwa.

Pia kwa utaalam wangu wa ujenzi, naamini hiyo crane ni sehemu ya structural design ya hilo bwawa. Ukileta movable crane, maana yake ni kua unaweka mzigo mahala ambapo sio pake. Tani 26 sio mchezo. Mnaweza jikuta mnaanza kuziba nyufa kwenye bwawa!

Ndio maana wanataka permanent crane, ambayo ni sehemu ya structural design kwenye hilo bwawa.
So wakati wanaanza ujenzi hawakujua kuwa zitahitajika wakaagiza?
 
Nimeisikiliza ile video jamaa anamajibu mengi sana ya kukatisha tamaa watanzania kuhusu ule mradi.

Kifupi ni kama analazimishwa kukamilisha ule mradi.
 
Basically crane zinazoongelewa hapa ni kama zile zilizopo mtera, ni inbuilt structure. Sasa inaonekana kulikuwa na uwezekano wa kuanza kujaza maji tarehe 15 November 2021, na kalemani alijua hilo. Sasa Makamba anasema hajui hata ni lini wataanza kujaza maji, which to me is a vague statement isiyopaswa kutolewa na Waziri. Na naamini kila kitu kipo kwenye project schedule. So much question still remain unanswered. Ngoja tusubiri
images%20(1).jpg
 
Back
Top Bottom