Waziri Maghembe umetangazia umma kuwa Mtihani wa darasa la Saba uliorudiwa katika baadhi za shule msingi za Dar es Salaam, Arusha na Kilimanjaro haukuwa wa marudio bali ulikuwa ni kwa ajili ya utafiti ili kuliwezesha Baraza la Mitihani kutoa mithani mizuri mwakani. Waziri huu ni uongo Mkubwa eleza umma ukweli kuliko kuficha uozo na uchafu unaoendelea kwenye baraza hilo. Kama huwezi kueleza ukweli ambao unaufahamu basi wengine tutasema.
1. Mtihani wa darasa la saba ulivuja katika maeneo mengi nchini lakini juhudi kubwa zilifanywa ili lisijulikane na umefanikiwa.
2. Matokeo ya Mtihani huo kwenye shule zilizorudia mtihani huo ni mazuri sana katika masomo yote na alama zao zimerange kati ya 70 hadi 100.
3. Chanzo cha kurudia mitihani hiyo kinatokana na patern ya perfomance iliyoko kwani majibu yao yanafanana sana jambo linloashiria watahiniwa walikuwa na majibu. Kwa hiyo baraza linataka lijihakikishiwe hilo na ikithibitka basi wafutiwe matokeo yao.
Huo ndio ukweli wa marudio ya mitihani hiyo.
Maghembe uozo unaoendelea Baraza la Mitihani unaufahamu fika na wewe ni sehemu ya uozo huo. Kumbuka ulivyonunuliwa mwaka jana kwa kupewa 200Milioni kutoka katika bajeti ya Baraza fungu la maendeleo ya 2008/09. Nasema haya kwa sababu nayafahamu na yanaumiza sana, ulafi wenu ndio unaoangamiza Elimu nchini.
Maghembe unavyombeba Katibu wa Baraza Ndalichako mwisho wake upo lakini ni hatari sana wa watoto wetu na Taifa kwa ujumla, Lakini kumbuka kuwa mama huyu habebeki kwani nguvu unazotumia kumbeba ni nyingi sana na karibu utaishiwa nguvu hizo.
1. Mtihani wa darasa la saba ulivuja katika maeneo mengi nchini lakini juhudi kubwa zilifanywa ili lisijulikane na umefanikiwa.
2. Matokeo ya Mtihani huo kwenye shule zilizorudia mtihani huo ni mazuri sana katika masomo yote na alama zao zimerange kati ya 70 hadi 100.
3. Chanzo cha kurudia mitihani hiyo kinatokana na patern ya perfomance iliyoko kwani majibu yao yanafanana sana jambo linloashiria watahiniwa walikuwa na majibu. Kwa hiyo baraza linataka lijihakikishiwe hilo na ikithibitka basi wafutiwe matokeo yao.
Huo ndio ukweli wa marudio ya mitihani hiyo.
Maghembe uozo unaoendelea Baraza la Mitihani unaufahamu fika na wewe ni sehemu ya uozo huo. Kumbuka ulivyonunuliwa mwaka jana kwa kupewa 200Milioni kutoka katika bajeti ya Baraza fungu la maendeleo ya 2008/09. Nasema haya kwa sababu nayafahamu na yanaumiza sana, ulafi wenu ndio unaoangamiza Elimu nchini.
Maghembe unavyombeba Katibu wa Baraza Ndalichako mwisho wake upo lakini ni hatari sana wa watoto wetu na Taifa kwa ujumla, Lakini kumbuka kuwa mama huyu habebeki kwani nguvu unazotumia kumbeba ni nyingi sana na karibu utaishiwa nguvu hizo.