Waziri Lukuvi tafadhali fanya kitu kwenye ofisi za ardhi za wilaya ya Morogoro

PACHO HERRERA

JF-Expert Member
Jul 23, 2018
460
527
Habarini za jioni...

Kwa muda mrefu sana, swala la ardhi hapa nchini limekuwa tatizo sugu..

Hii imepelekea kuibuka kwa migogoro mbalimbali na mafarakano katika jamii na wakati mwingine kusababisha hata maafa.

Katika mkoa wa morogoro kumeripotiwa visa vingi sana vinavyotokana na migogoro ya ardhi..

Kwa haraka haraka utagundua kwamba bado kuna shida kubwa sana katika ofisi nyingi za ardhi ambazo ni shida za kiutendaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababisha migogoro hii..

Kwa upande wangu mimi ni mfanyabiashara nipo morogoro, na kwa kipindi kirefu ofisi hizi zimekuwa zikinikwamisha sana mambo yangu.

Moja ya biashara zangu ni kununua viwanja, kujenga na kuuza nyumba ama kuzipangisha..
Hapa ndo nilipokutana na mtihani mkubwa.

Unaenda kubadilisha jina la hati ya kiwanja baada ya kukinunua unazungushwa hata miezi sita, mara mafaili hayaonekani, mara sijui nini, mara hakuna mtandao, mara maafisa wameenda kufanya kazi field mwezi mzima, mara system ina shida mara kimeuzwa kwa watu wawili.. daaah tabu tupu..

Mwezi uliopita ndo nilichanganyikiwa kabisa,
Nilikua nafuatilia mkopo wangu benki fulani, nikawa nimeweka dhamana ya nyumba yangu mojawapo iliyopo wilaya mojawapo ya mkoa huu inayoanziwa na herufi 'k'..

Benki waliniambia nikalipie kiwanja changu (squatter) malipo ya kila mwaka ya kodi ya ardhi, bwaaaanaweee, shuhuli ikawa kwenye kupata control number


Yaani nimezunguka mwezi mzima hawanipi control number ya kulipia kiwanja changu..

Nimekaa mwezi mzima wanajizungusha, mara mfumo haupo, mara kimeenda kimerudi, mara access hamna mara sijui nini..

Mpaka benki wakaniona mzushi ikabidi wa-reject ombi langu na kunishauri nijipange kwa wakati ujao.

Ukiangalia nimekosa fusra kubwa maana nilishapata wapangaji wa kituruki ambao walikubali kupanga kwangu kwa mwaka mzima na walinipa masharti ya kurekebisha nyumba kwanza ( ndio maana nikaomba mkopo)

Muheshimiwa waziri, kwanza kitendo cha mimi kupata control number ili nilipie kiwanja changu, ni kuliingizia taifa kipato, sasa watu wako wanatunyima kuchangia pato la taifa. Wana majibu mabaya sana mpaka wanakera na muda mwinhine wanaficha mafaili makusufi ili tutoe hela za posho..

Hata 'official search' ambayo ni huduma ya bure wamekuwa wanatuchaji..


Muheshimiwa naamini kwa ujumbe huu utafanyia kazi na kutupa ahueni wananchi..


NAWASILISHA
 
Mbona tayari ofisi nzima Lukuvi kawasambaratisha mkuu? Kuna mmoja bonge hivi nimemkuta Katavi, dada mmoja naye kaniambia ametupwa Kigoma
Ni kweli kabisa mkuu,ofisi za ardhi morogoro zina matatizo makubwa sana
 
Habarini za jioni...

Kwa muda mrefu sana, swala la ardhi hapa nchini limekuwa tatizo sugu..

Hii imepelekea kuibuka kwa migogoro mbalimbali na mafarakano katika jamii na wakati mwingine kusababisha hata maafa.

Katika mkoa wa morogoro kumeripotiwa visa vingi sana vinavyotokana na migogoro ya ardhi..

Kwa haraka haraka utagundua kwamba bado kuna shida kubwa sana katika ofisi nyingi za ardhi ambazo ni shida za kiutendaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababisha migogoro hii..

Kwa upande wangu mimi ni mfanyabiashara nipo morogoro, na kwa kipindi kirefu ofisi hizi zimekuwa zikinikwamisha sana mambo yangu.

Moja ya biashara zangu ni kununua viwanja, kujenga na kuuza nyumba ama kuzipangisha..
Hapa ndo nilipokutana na mtihani mkubwa.

Unaenda kubadilisha jina la hati ya kiwanja baada ya kukinunua unazungushwa hata miezi sita, mara mafaili hayaonekani, mara sijui nini, mara hakuna mtandao, mara maafisa wameenda kufanya kazi field mwezi mzima, mara system ina shida mara kimeuzwa kwa watu wawili.. daaah tabu tupu..

Mwezi uliopita ndo nilichanganyikiwa kabisa,
Nilikua nafuatilia mkopo wangu benki fulani, nikawa nimeweka dhamana ya nyumba yangu mojawapo iliyopo wilaya mojawapo ya mkoa huu inayoanziwa na herufi 'k'..

Benki waliniambia nikalipie kiwanja changu (squatter) malipo ya kila mwaka ya kodi ya ardhi, bwaaaanaweee, shuhuli ikawa kwenye kupata control number


Yaani nimezunguka mwezi mzima hawanipi control number ya kulipia kiwanja changu..

Nimekaa mwezi mzima wanajizungusha, mara mfumo haupo, mara kimeenda kimerudi, mara access hamna mara sijui nini..

Mpaka benki wakaniona mzushi ikabidi wa-reject ombi langu na kunishauri nijipange kwa wakati ujao.

Ukiangalia nimekosa fusra kubwa maana nilishapata wapangaji wa kituruki ambao walikubali kupanga kwangu kwa mwaka mzima na walinipa masharti ya kurekebisha nyumba kwanza ( ndio maana nikaomba mkopo)

Muheshimiwa waziri, kwanza kitendo cha mimi kupata control number ili nilipie kiwanja changu, ni kuliingizia taifa kipato, sasa watu wako wanatunyima kuchangia pato la taifa. Wana majibu mabaya sana mpaka wanakera na muda mwinhine wanaficha mafaili makusufi ili tutoe hela za posho..

Hata 'official search' ambayo ni huduma ya bure wamekuwa wanatuchaji..


Muheshimiwa naamini kwa ujumbe huu utafanyia kazi na kutupa ahueni wananchi..


NAWASILISHA


POLE SANA MKUU KWA USUMBUFU UNAOPITIA NAAMINI WAZIRI LUKUVI ATALIFANYIA KAZI SUALA LAKO...!
 
Mkuu pole kwa yaliyokukuta ila naona umeongeza chumvi kidogo kwenye hiyo aya ya pili kutoka chini.. OFFICIAL SEARCH haifanywi na ofisi za halmashauri.. inafanywa kwenye ofisi ya msajili wa hati na nyaraka wa kanda husika.. na inalipiwa Tsh 40000 mara baada ya kupewa Control No. ya malipo.
Habarini za jioni...

Kwa muda mrefu sana, swala la ardhi hapa nchini limekuwa tatizo sugu..

Hii imepelekea kuibuka kwa migogoro mbalimbali na mafarakano katika jamii na wakati mwingine kusababisha hata maafa.

Katika mkoa wa morogoro kumeripotiwa visa vingi sana vinavyotokana na migogoro ya ardhi..

Kwa haraka haraka utagundua kwamba bado kuna shida kubwa sana katika ofisi nyingi za ardhi ambazo ni shida za kiutendaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababisha migogoro hii..

Kwa upande wangu mimi ni mfanyabiashara nipo morogoro, na kwa kipindi kirefu ofisi hizi zimekuwa zikinikwamisha sana mambo yangu.

Moja ya biashara zangu ni kununua viwanja, kujenga na kuuza nyumba ama kuzipangisha..
Hapa ndo nilipokutana na mtihani mkubwa.

Unaenda kubadilisha jina la hati ya kiwanja baada ya kukinunua unazungushwa hata miezi sita, mara mafaili hayaonekani, mara sijui nini, mara hakuna mtandao, mara maafisa wameenda kufanya kazi field mwezi mzima, mara system ina shida mara kimeuzwa kwa watu wawili.. daaah tabu tupu..

Mwezi uliopita ndo nilichanganyikiwa kabisa,
Nilikua nafuatilia mkopo wangu benki fulani, nikawa nimeweka dhamana ya nyumba yangu mojawapo iliyopo wilaya mojawapo ya mkoa huu inayoanziwa na herufi 'k'..

Benki waliniambia nikalipie kiwanja changu (squatter) malipo ya kila mwaka ya kodi ya ardhi, bwaaaanaweee, shuhuli ikawa kwenye kupata control number


Yaani nimezunguka mwezi mzima hawanipi control number ya kulipia kiwanja changu..

Nimekaa mwezi mzima wanajizungusha, mara mfumo haupo, mara kimeenda kimerudi, mara access hamna mara sijui nini..

Mpaka benki wakaniona mzushi ikabidi wa-reject ombi langu na kunishauri nijipange kwa wakati ujao.

Ukiangalia nimekosa fusra kubwa maana nilishapata wapangaji wa kituruki ambao walikubali kupanga kwangu kwa mwaka mzima na walinipa masharti ya kurekebisha nyumba kwanza ( ndio maana nikaomba mkopo)

Muheshimiwa waziri, kwanza kitendo cha mimi kupata control number ili nilipie kiwanja changu, ni kuliingizia taifa kipato, sasa watu wako wanatunyima kuchangia pato la taifa. Wana majibu mabaya sana mpaka wanakera na muda mwinhine wanaficha mafaili makusufi ili tutoe hela za posho..

Hata 'official search' ambayo ni huduma ya bure wamekuwa wanatuchaji..


Muheshimiwa naamini kwa ujumbe huu utafanyia kazi na kutupa ahueni wananchi..


NAWASILISHA
 
Pole, nitumie majina yako kamili
Samahani boss kwa kudandia juu kwa juu ila nitashukuru kama utanipa maelezo nianzie wapi.

Kiwanja changu kimewekwa mawe na ramani ya kitalaam ya eneo ipo. Mimi naishi hapa sasa baada ya Mzee wangu kututoka sasa nataka niendelee kupata hati. Sijajua nianzie wapi zaidi ya mchoro sina document nyingine.

Mimi nipo DSM
 
Mimi nimechoka mno niliposikia waziri anasema ukiwapa pesa mkononi wanafuta deni lakini kiuhalisia deni lipo pale pale.
Hili suala siyo dogo Serikali imewaweka watumishi wao na wananguvu ya hoja kudai pesa wapewe wao mkononi ili kurahisisha malipo wanadai ukilipia Bank haziendi ardhi hivyo kuchukua muda mrefu kuwafikia hivyo huwezi kupewa huduma na hoja nyingi nyingi za kijanja janja ni rai yangu kwamba mifumo ya kulipia kwa mtandao iboreshwe ili watanzania wahepukane kukutana na hao watumishi wenu.na Madeni yasiyolipika serikali itoe shufaa ili ikiwezekana waanze upya au walipe kidogokidogo kwa kadri watakavyo panga.Hii itaongeza mapato makubwa kwa serikali lakini itakuwa imejitofautisha na serikali ya wakoloni ambayo mababu zetu waliichoka na kuungana kuing'oa.
 
Mimi nimechoka mno niliposikia waziri anasema ukiwapa pesa mkononi wanafuta deni lakini kiuhalisia deni lipo pale pale.
Hili suala siyo dogo Serikali imewaweka watumishi wao na wananguvu ya hoja kudai pesa wapewe wao mkononi ili kurahisisha malipo wanadai ukilipia Bank haziendi ardhi hivyo kuchukua muda mrefu kuwafikia hivyo huwezi kupewa huduma na hoja nyingi nyingi za kijanja janja ni rai yangu kwamba mifumo ya kulipia kwa mtandao iboreshwe ili watanzania wahepukane kukutana na hao watumishi wenu.na Madeni yasiyolipika serikali itoe shufaa ili ikiwezekana waanze upya au walipe kidogokidogo kwa kadri watakavyo panga.Hii itaongeza mapato makubwa kwa serikali lakini itakuwa imejitofautisha na serikali ya wakoloni ambayo mababu zetu waliichoka na kuungana kuing'oa.
 
hii idara itabidi iangaliwe upya imekuwa kama ilivyokuwa tiharahei in zozi dei.
solution yake ni kuweka mapandikizi na ma pccb ili kupunguza huu ufisadi

kingine kero kama hizi ni vyema pia kuwaandika halmashauri husika ukiwa cc uwajuao
 
Habarini za jioni...

Kwa muda mrefu sana, swala la ardhi hapa nchini limekuwa tatizo sugu..

Hii imepelekea kuibuka kwa migogoro mbalimbali na mafarakano katika jamii na wakati mwingine kusababisha hata maafa.

Katika mkoa wa morogoro kumeripotiwa visa vingi sana vinavyotokana na migogoro ya ardhi..

Kwa haraka haraka utagundua kwamba bado kuna shida kubwa sana katika ofisi nyingi za ardhi ambazo ni shida za kiutendaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababisha migogoro hii..

Kwa upande wangu mimi ni mfanyabiashara nipo morogoro, na kwa kipindi kirefu ofisi hizi zimekuwa zikinikwamisha sana mambo yangu.

Moja ya biashara zangu ni kununua viwanja, kujenga na kuuza nyumba ama kuzipangisha..
Hapa ndo nilipokutana na mtihani mkubwa.

Unaenda kubadilisha jina la hati ya kiwanja baada ya kukinunua unazungushwa hata miezi sita, mara mafaili hayaonekani, mara sijui nini, mara hakuna mtandao, mara maafisa wameenda kufanya kazi field mwezi mzima, mara system ina shida mara kimeuzwa kwa watu wawili.. daaah tabu tupu..

Mwezi uliopita ndo nilichanganyikiwa kabisa,
Nilikua nafuatilia mkopo wangu benki fulani, nikawa nimeweka dhamana ya nyumba yangu mojawapo iliyopo wilaya mojawapo ya mkoa huu inayoanziwa na herufi 'k'..

Benki waliniambia nikalipie kiwanja changu (squatter) malipo ya kila mwaka ya kodi ya ardhi, bwaaaanaweee, shuhuli ikawa kwenye kupata control number


Yaani nimezunguka mwezi mzima hawanipi control number ya kulipia kiwanja changu..

Nimekaa mwezi mzima wanajizungusha, mara mfumo haupo, mara kimeenda kimerudi, mara access hamna mara sijui nini..

Mpaka benki wakaniona mzushi ikabidi wa-reject ombi langu na kunishauri nijipange kwa wakati ujao.

Ukiangalia nimekosa fusra kubwa maana nilishapata wapangaji wa kituruki ambao walikubali kupanga kwangu kwa mwaka mzima na walinipa masharti ya kurekebisha nyumba kwanza ( ndio maana nikaomba mkopo)

Muheshimiwa waziri, kwanza kitendo cha mimi kupata control number ili nilipie kiwanja changu, ni kuliingizia taifa kipato, sasa watu wako wanatunyima kuchangia pato la taifa. Wana majibu mabaya sana mpaka wanakera na muda mwinhine wanaficha mafaili makusufi ili tutoe hela za posho..

Hata 'official search' ambayo ni huduma ya bure wamekuwa wanatuchaji..


Muheshimiwa naamini kwa ujumbe huu utafanyia kazi na kutupa ahueni wananchi..


NAWASILISHA


Hao ni watendaji wapya au wale tulioambiwa wataondolewa!!?
 
Yaani mkuu hii no kweli tena kweli tupu .mfano mwingine no wilaya ya Morogoro ambayo mpaka hii Leo katika mini kamaMatombo, Ngerengere no watu tumakaa na Offer kwa karibu miaka 20 kila nikienda kuomba hati wanasema hatuna ramani. IPO demarcations hiii inatunyima fursa ya kupata hata mikopo bank Lukuvi hii ni zaidi ya KEROOOO
Habarini za jioni...

Kwa muda mrefu sana, swala la ardhi hapa nchini limekuwa tatizo sugu..

Hii imepelekea kuibuka kwa migogoro mbalimbali na mafarakano katika jamii na wakati mwingine kusababisha hata maafa.

Katika mkoa wa morogoro kumeripotiwa visa vingi sana vinavyotokana na migogoro ya ardhi..

Kwa haraka haraka utagundua kwamba bado kuna shida kubwa sana katika ofisi nyingi za ardhi ambazo ni shida za kiutendaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababisha migogoro hii..

Kwa upande wangu mimi ni mfanyabiashara nipo morogoro, na kwa kipindi kirefu ofisi hizi zimekuwa zikinikwamisha sana mambo yangu.

Moja ya biashara zangu ni kununua viwanja, kujenga na kuuza nyumba ama kuzipangisha..
Hapa ndo nilipokutana na mtihani mkubwa.

Unaenda kubadilisha jina la hati ya kiwanja baada ya kukinunua unazungushwa hata miezi sita, mara mafaili hayaonekani, mara sijui nini, mara hakuna mtandao, mara maafisa wameenda kufanya kazi field mwezi mzima, mara system ina shida mara kimeuzwa kwa watu wawili.. daaah tabu tupu..

Mwezi uliopita ndo nilichanganyikiwa kabisa,
Nilikua nafuatilia mkopo wangu benki fulani, nikawa nimeweka dhamana ya nyumba yangu mojawapo iliyopo wilaya mojawapo ya mkoa huu inayoanziwa na herufi 'k'..

Benki waliniambia nikalipie kiwanja changu (squatter) malipo ya kila mwaka ya kodi ya ardhi, bwaaaanaweee, shuhuli ikawa kwenye kupata control number


Yaani nimezunguka mwezi mzima hawanipi control number ya kulipia kiwanja changu..

Nimekaa mwezi mzima wanajizungusha, mara mfumo haupo, mara kimeenda kimerudi, mara access hamna mara sijui nini..

Mpaka benki wakaniona mzushi ikabidi wa-reject ombi langu na kunishauri nijipange kwa wakati ujao.

Ukiangalia nimekosa fusra kubwa maana nilishapata wapangaji wa kituruki ambao walikubali kupanga kwangu kwa mwaka mzima na walinipa masharti ya kurekebisha nyumba kwanza ( ndio maana nikaomba mkopo)

Muheshimiwa waziri, kwanza kitendo cha mimi kupata control number ili nilipie kiwanja changu, ni kuliingizia taifa kipato, sasa watu wako wanatunyima kuchangia pato la taifa. Wana majibu mabaya sana mpaka wanakera na muda mwinhine wanaficha mafaili makusufi ili tutoe hela za posho..

Hata 'official search' ambayo ni huduma ya bure wamekuwa wanatuchaji..


Muheshimiwa naamini kwa ujumbe huu utafanyia kazi na kutupa ahueni wananchi..


NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom