Waziri Lugola : Jeshi la Polisi kamateni watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama na ' watu wasiojulikana'

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameliamuru Jeshi la Polisi kumkamata Mtu yeyote atakayevihusisha vyombo vya Dola na matukio ya kihalifu yanayotekelezwa na 'watu wasiojukikana'

> Waziri Lugola amesema yeyote atakayevituhumu vyombo vya Dola kwa matukio ya watu wasiojulikana kupitia mitandao ya kijamii au kwenye Baa basi akamatwe kwa mahojiano

> Ameongeza kuwa kama watu hao wataachwa basi watachangia kuchafua taswira ya vyombo vya dola jambo ambalo hatoliruhusu kwenye uongozi wake
 
Kutuhumu bila ya ushahidi ndiyo kukoje huko? Basi na yeye akubali hivyo vyombo vya sheria na dola kufuata sheria zilizowekwa. Kwa mfano ni lazima Polisi wote wafuate kanuni za ukamataji, upekuaji, uwekaji watu Rumande, kanuni za kuhoji, kulinda mikutano ya hadhara na hata ufunguaji wa Kesi mahakamani.
 
Yaani huyo jamaa ni speaker tu, mwenye Mic yuko magogoni. Na kashamjua ni mchekeshaji wa mfalme anamtuma hata mambo ya kipuuzi. Ukitaka kufuruha ujie mtengeneza script ni yupi, ngoja siku jiwe akihutubia utamsikia anaongea hayo hayo anayongea huyo waziri kituko. Naona kina Savimbi walikuwa wanatumwa mambo kama haya wakawa wanapotezea kwani huku mitandaoni walikuwa wanapewa ukweli wao mpaka wanaona soni. Huyu boya yeye inaonekana ni fala anatii kila jambo.
 
Hatutatuhumu tena, lakini kwa lile tukio la TL vyombo vilihusika. Hata kama mkijiondoa ufahamu lakini ukweli ndio huo. Hata tukio kupotea B. saa8 vyombo vilihusika.

Katika tafakari ya leo kanisani Askofu alisema,
"Hata Yesu hakupendwa na viongozi wa nchi"

Hivyo hata nyie sio wa kwanza kutopenda kuambiwa ukweli, walikuwepo - wakapita. Na nyinyi miili yenu ni ya nyama tu, nanyi siku zenu zinahesabika.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameliamuru Jeshi la Polisi kumkamata Mtu yeyote atakayevihusisha vyombo vya Dola na matukio ya kihalifu yanayotekelezwa na 'watu wasiojukikana'

> Waziri Lugola amesema yeyote atakayevituhumu vyombo vya Dola kwa matukio ya watu wasiojulikana kupitia mitandao ya kijamii au kwenye Baa basi akamatwe kwa mahojiano

> Ameongeza kuwa kama watu hao wataachwa basi watachangia kuchafua taswira ya vyombo vya dola jambo ambalo hatoliruhusu kwenye uongozi wake

========

Dar es Salaam. Home Affairs Minister Kangi Lugola has directed the police to arrest any person linking security organs with crimes committed by ‘unknown assailants’.

Speaking in an exclusive interview with Mwananchi Communications Limited (MCL) – the publisher of The Citizen, Mwananchi and Mwanaspoti as well as MCL Digital – in Dar es Salaam on Sunday, Mr Lugola said those linking security organs with crime committed by unknown assailants should be arrested for questioning.

“This include people who raise accusations on social media and other areas including bars. They should be arrested for questioning because if we remain silent, we paint a bad image for security organs and the government,” he said, adding that silence will ultimately cause people to believe the reports, thinking that security organs are indeed behind crime incidents taking place in the country. “I will not allow this to happen during my leadership at the ministry.”

Mr Lugola also said that security organs have been using the word “unknown perpetrators of crime” after initial investigation from citizens found at the scene showing that those behind the incidents were unknown.

Mr Lugola was named to succeed Dr Mwigulu Nchemba in the recent mini cabinet reshuffle made by President Magufuli and announced by Chief Secretary John Kijazi.
VIPI KESI YAKE YA KUOMBA RUSHWA WAKATI WA UKAGUZI HUKO GAIRO ILIISHAJE? HUYU NI MNAFIKI YEYE NA MWAMBALASWA NA MWINGINE WALIOMBA RUSHWA KUTOKA KWA MKURUGENZI WA WILAYA ILI WAWEKE HESABU SAWA.....HALAFU HUYU HUYU ANASEMA AZIKWE NA ILANI.......SAWA TUTAMZIKA NAYO!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameliamuru Jeshi la Polisi kumkamata Mtu yeyote atakayevihusisha vyombo vya Dola na matukio ya kihalifu yanayotekelezwa na 'watu wasiojukikana'

> Waziri Lugola amesema yeyote atakayevituhumu vyombo vya Dola kwa matukio ya watu wasiojulikana kupitia mitandao ya kijamii au kwenye Baa basi akamatwe kwa mahojiano

> Ameongeza kuwa kama watu hao wataachwa basi watachangia kuchafua taswira ya vyombo vya dola jambo ambalo hatoliruhusu kwenye uongozi wake

========

Dar es Salaam. Home Affairs Minister Kangi Lugola has directed the police to arrest any person linking security organs with crimes committed by ‘unknown assailants’.

Speaking in an exclusive interview with Mwananchi Communications Limited (MCL) – the publisher of The Citizen, Mwananchi and Mwanaspoti as well as MCL Digital – in Dar es Salaam on Sunday, Mr Lugola said those linking security organs with crime committed by unknown assailants should be arrested for questioning.

“This include people who raise accusations on social media and other areas including bars. They should be arrested for questioning because if we remain silent, we paint a bad image for security organs and the government,” he said, adding that silence will ultimately cause people to believe the reports, thinking that security organs are indeed behind crime incidents taking place in the country. “I will not allow this to happen during my leadership at the ministry.”

Mr Lugola also said that security organs have been using the word “unknown perpetrators of crime” after initial investigation from citizens found at the scene showing that those behind the incidents were unknown.

Mr Lugola was named to succeed Dr Mwigulu Nchemba in the recent mini cabinet reshuffle made by President Magufuli and announced by Chief Secretary John Kijazi.
Sijajua kuwa huyu jamaa ni mpuuzi na mpenda sifa kama boss wake
 
Huyu Lugola ni jipu kabisa, kama vyombo vya dola vyenye nyenzo zote vinashindwa kuwapata hao 'wasiojulikana' kwa nini tusivihusishe nao ?

Lugola ajue Watanzania sio wajinga, kama yeye anajifanya mjinga, asitufanye na sisi kuwa wajinga.

Vv
 
Back
Top Bottom