Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma
Na waliodhulumiwa na Bashite kwa namna yeyote ile ni wakati sasa wakutoka na kutoa malalamiko yao, ili kuwe na nguvu ya kumshitaki BASHITE.Bwasheh unaambiwa watu wanazo cctv videos za yaliyofanyika zaidi ndani πππ
Ogopa teknolojia mzee
Ila ngoja tuone bwasheh kama unavyosema
Ova
Habari.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma
kama alivyosamehewa nani??Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
Hahahaaaa........ Hahahaaaa........ Unashangilia kizuzu zuzu!Makonda kwiiishaaaaaaaa
Na huyo ni CCM mkuu.Huyu Waziri anaonekana yuko makini sana,anafanya kazi yake bila hofu ya kutumbuliwa.
Tume itamwambia awaombe radhi Clouds tv na ndio imeisha hiyo!nibora tume kuliko polisi watakuja na hadithi za sungura na fisi
Kama mnawakabidhi Polisi hii kesi waambieni kabisa kuhusu kuingia na Madesa kwenye mtihani.Nilidhani hilo ni jukumu la polisi siyo tume!
Kumbe wakili hawezi endelea na litigation Hadi tume itoe tamko ,na je endapo wakili ataendelea na na mchakato kortin tume inaweza athiri litigation kortin kwatamko lakeTume itamwambia awaombe radhi Clouds tv na ndio imeisha hiyo!
Hujiulizi kwanini Waziri kajitokeza wakati kuna Wakili wa kujitegemea katangaza kumshtaki Makonda " mahakamani"?
Mlio karibu na Bashite mumtonye atie akili asome alama za nyakati. Wanamuelekeza KIBLA mda wowote, kama JAMBAZI Sabaya.Ngoja tuone!
Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Na ule mshepu wana watajiseviaNi zamu ya ridhwani kumshikisha adabu, tena ni taratibuuuuu, hakuna haraka, hii itamfanya bashite awe na stresa nyingi mno kabla hajaenda kwa mwenzake Sabaya.
Waje kugusa vyeti feki.
Waje kugusa kesi alizobambikia watu kuuza madawa ya kulevya ili apewe kadi zao za umiliki wa magari ya kifahari.
Waje kugusa ule magendo yake pale bandarini.
n.k
Yaani Bashite alitengeneza uadui na vigogo wengi sana na muda huu watambanika mzima mzima kihalali kabisa bila kumbambikia vya uwongo.
Vuta picha Manji alivyo henya kwasababu ya Bashite, Vuta picha kina Gwajima wamelala polisi, vuta picha kina mbowe walilala huko, vita picha madon kibao walivyo nyanyaswa!!! Bashite kazi unayo aisee!! Hawa watu hawataweza kukusamehe kirahisi rahisi, unayoyaona yote haya ni jitihada zao za kukutia displini.
Bashite huchomoki aisee!!!
Nakushauri utokomee kusikojulikana maana muda bado unao na pesa ulizodokoa ni nyingi, Sepa fastaaaa!!! huko mahakamani huruki aisee, na ukienda huko mahabusu / jela tayari madon watakuwa wamekuandalia vijana wao.l, yani kama dozi ile ya mara 3 kwa kutwa.
Kila Mtu na bahati yake.Ngoja tuone!
Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Ni swala la muda tu, Bashite anaenda kupata β mwenziakeβ wa maisha Jela. ππππKumbe wakili hawezi endelea na litigation Hadi tume itoe tamko ,na je endapo wakili ataendelea na na mchakato kortin tume inaweza athiri litigation kortin kwatamko lake
Una elimu ndogo rudi shuleMbona waziri kasema jambo nusu nusu.
Tulitaka kujua haya:
1. Hiyo tume iliundwa lini, na nani na inapaswa kukabidhi hiyo ripoti lini? (Kama ni tume ile ile ya wakati ule iliyoundwa na Nape, ilipewa siku saba na ilipaswa kuwa imekabidhi ripoti kipindi kile kile....)
2. Huyu waziri ana mamlaka gani katika kukabiliana suala la Makonda kuvamia Clauds media. (Kwa mfano kama tume itamuona Makonda alikuwa na makosa, waziri atafanya nini?)
3. Kwanini suala lile halikumalizwa kipindi kile kile na badala yake limekaliwa kimya muda wote?
aaaaah acha banaBashite akienda jela sipati picha watakavyomgombea kwa lile sambwanda lake.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Whaaaat? Ingekuwa hivyo basi duniani wakosaji kusingekuwa na haja ya kuwachukulia sheria kwa sababu wameshajifunza. Wabakaji, majambazi, mafisadi, vibaka na kila mkosaji asifanywe chochote kwa sababu ameshajifunza hivyo asamehewe.Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe