Waziri Kijaji: Nasubiri ripoti ya Tume inayochunguza upya tukio la Makonda kuvamia Clouds

Huo ndo uzuri wa criminal case,criminal case is timeless,ukibaka kesi itakusubiri hata ukiwa 95 yrs
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.

Pia soma


 
Bwasheh unaambiwa watu wanazo cctv videos za yaliyofanyika zaidi ndani 😂😂😂
Ogopa teknolojia mzee
Ila ngoja tuone bwasheh kama unavyosema

Ova
Na waliodhulumiwa na Bashite kwa namna yeyote ile ni wakati sasa wakutoka na kutoa malalamiko yao, ili kuwe na nguvu ya kumshitaki BASHITE.
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.

Pia soma


Habari.

Kuna watu waliimba na kuhubiri,
Kusujudu na kurukaruka.
Kunywa bia na kuponda bata la kufa mtu kwamba kwa maisha yao yatakuwa bora mno baada ya Magufuli.

Leo ni miezi 8 bila Magufuli lakini kila wakigeuka huku hakuna umeme, wakigeuka hakuna maji ,wakigeuka huku mbolea lakini moja, wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye migodi ,wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye mitaa, wakigeuka huku Mungu wao yuko jela kwa ugaidi.

Leo ndiyo wamejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili yao?
Jinga kabisa na bado mtaendelea kuwa watumwa hivyo hivyo.
Waliowadanganya wamtukane Magufuli wote wamepata mabwana Ulaya wanalishwa bure.

Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
kama alivyosamehewa nani??
 
nibora tume kuliko polisi watakuja na hadithi za sungura na fisi
Tume itamwambia awaombe radhi Clouds tv na ndio imeisha hiyo!

Hujiulizi kwanini Waziri kajitokeza wakati kuna Wakili wa kujitegemea katangaza kumshtaki Makonda " mahakamani"?
 
Tume itamwambia awaombe radhi Clouds tv na ndio imeisha hiyo!

Hujiulizi kwanini Waziri kajitokeza wakati kuna Wakili wa kujitegemea katangaza kumshtaki Makonda " mahakamani"?
Kumbe wakili hawezi endelea na litigation Hadi tume itoe tamko ,na je endapo wakili ataendelea na na mchakato kortin tume inaweza athiri litigation kortin kwatamko lake
 
Ngoja tuone!

Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Mlio karibu na Bashite mumtonye atie akili asome alama za nyakati. Wanamuelekeza KIBLA mda wowote, kama JAMBAZI Sabaya.
Samia kuvaa kijeshi sio bure, anamfunga huyo ile aweze pata hela za USA kwa unafuu. Wanamwambia kwani ni analea waliodhulum haki za wengine kuishi.
 
Ni zamu ya ridhwani kumshikisha adabu, tena ni taratibuuuuu, hakuna haraka, hii itamfanya bashite awe na stresa nyingi mno kabla hajaenda kwa mwenzake Sabaya.

Waje kugusa vyeti feki.

Waje kugusa kesi alizobambikia watu kuuza madawa ya kulevya ili apewe kadi zao za umiliki wa magari ya kifahari.

Waje kugusa ule magendo yake pale bandarini.

n.k

Yaani Bashite alitengeneza uadui na vigogo wengi sana na muda huu watambanika mzima mzima kihalali kabisa bila kumbambikia vya uwongo.

Vuta picha Manji alivyo henya kwasababu ya Bashite, Vuta picha kina Gwajima wamelala polisi, vuta picha kina mbowe walilala huko, vita picha madon kibao walivyo nyanyaswa!!! Bashite kazi unayo aisee!! Hawa watu hawataweza kukusamehe kirahisi rahisi, unayoyaona yote haya ni jitihada zao za kukutia displini.

Bashite huchomoki aisee!!!

Nakushauri utokomee kusikojulikana maana muda bado unao na pesa ulizodokoa ni nyingi, Sepa fastaaaa!!! huko mahakamani huruki aisee, na ukienda huko mahabusu / jela tayari madon watakuwa wamekuandalia vijana wao.l, yani kama dozi ile ya mara 3 kwa kutwa.
Na ule mshepu wana watajisevia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wakili hawezi endelea na litigation Hadi tume itoe tamko ,na je endapo wakili ataendelea na na mchakato kortin tume inaweza athiri litigation kortin kwatamko lake
Ni swala la muda tu, Bashite anaenda kupata “ mwenziake” wa maisha Jela. 😃😀😄😆
 
Tatizo wanajisahau, wakiwa madarakani hawataki kuboresha magereza wanahisi kule si kwao. Sauti ya Chid Benzino
 
Mbona waziri kasema jambo nusu nusu.
Tulitaka kujua haya:

1. Hiyo tume iliundwa lini, na nani na inapaswa kukabidhi hiyo ripoti lini? (Kama ni tume ile ile ya wakati ule iliyoundwa na Nape, ilipewa siku saba na ilipaswa kuwa imekabidhi ripoti kipindi kile kile....)

2. Huyu waziri ana mamlaka gani katika kukabiliana suala la Makonda kuvamia Clauds media. (Kwa mfano kama tume itamuona Makonda alikuwa na makosa, waziri atafanya nini?)

3. Kwanini suala lile halikumalizwa kipindi kile kile na badala yake limekaliwa kimya muda wote?
Una elimu ndogo rudi shule
 
Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
Whaaaat? Ingekuwa hivyo basi duniani wakosaji kusingekuwa na haja ya kuwachukulia sheria kwa sababu wameshajifunza. Wabakaji, majambazi, mafisadi, vibaka na kila mkosaji asifanywe chochote kwa sababu ameshajifunza hivyo asamehewe.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom