Mabobish
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 366
- 280
Mh. Waziri wa Mambo ya ndani tukio liloambatishwa na taarifa hii halifai asilani mbele ya macho ya Sheria. Kwa heshima na unyenyekevu unaombwa sana ku- intervene jambo hili na kuhakikisha hatua za kinidhamu na kisheria zinachukuliwa dhidi ya Askari Polisi wakatiri hawaView attachment VID-20190317-WA0023.mp4
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app