beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Nchi (Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Walemavu) Jenista Mhagama amesema kuna Mikoa inafanya vizuri katika Uzalishaji wa Chakula lakini kiwango cha Utapiamlo na Udumavu bado kipo juu
Akiwa Bungeni Dodoma amesema, "Mkoa wa Iringa hali bado sio nzuri, kiwango cha Kitaifa ni 40% lakini Iringa wamefika asilimia 47.1, Songwe wamefika 43.3%"
Ameongeza, "Tukijipanga vizuri kwenye kila kitu tusipoondoa udumavu tutakuwa na Watoto ambao bado hawafanyi vizuri katika masomo yao darasani"
Akiwa Bungeni Dodoma amesema, "Mkoa wa Iringa hali bado sio nzuri, kiwango cha Kitaifa ni 40% lakini Iringa wamefika asilimia 47.1, Songwe wamefika 43.3%"
Ameongeza, "Tukijipanga vizuri kwenye kila kitu tusipoondoa udumavu tutakuwa na Watoto ambao bado hawafanyi vizuri katika masomo yao darasani"