Waziri Jafo atoa onyo kali kwa Wakurugenzi wa Halmashauri wanaoshindwa kuzitumia fedha za maendeleo kikamilifu

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,207
4,703
Waziri wa Tamisemi Mheshimiwa Suleiman Jaffo awaonya Wakurugenzi wa Halmashauri wanaoshindwa kutumia kikamilifu fedha za Maendeleo na kisha kuamua kuzirejesha hazina baada ya mwaka wa fedha kumalizika.

Amewakumbusha kuwa fedha hizo zimetengwa kwenye bajeti ili zitumike kwa miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa manufaa ya Wananchi kama ilivyokusudiwa.

Nipashe
 
Fedha zenyewe zinatolewa mwezi April na mwaka wa fedha unaisha June sasa unategemea nini?
 
Waziri wa Tamisemi Mheshimiwa Suleiman Jaffo awaonya Wakurugenzi wa Halmashauri wanaoshindwa kutumia kikamilifu fedha za Maendeleo na kisha kuamua kuzirejesha hazina baada ya mwaka wa fedha kumalizika.

Amewakumbusha kuwa fedha hizo zimetengwa kwenye bajeti ili zitumike kwa miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa manufaa ya Wananchi kama ilivyokusudiwa.

Nipashe
Shida ya hawa jamaa shughuli ikiwa haina maslahi kwao, yaani 10 percent wanapotezea
 
Waziri wa Tamisemi Mheshimiwa Suleiman Jaffo awaonya Wakurugenzi wa Halmashauri wanaoshindwa kutumia kikamilifu fedha za Maendeleo na kisha kuamua kuzirejesha hazina baada ya mwaka wa fedha kumalizika.

Amewakumbusha kuwa fedha hizo zimetengwa kwenye bajeti ili zitumike kwa miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa manufaa ya Wananchi kama ilivyokusudiwa.

Nipashe
Watolewe hao wakurugenzi wanaoshindwa kutumia hela za miradi ya maendeleo wakati wananchi wanateseka.
 
Huo ni uongo vilio kila kona, hiyo pesa ya kurudi ya ziada itoke wapi!? Ipo miradi mahususi inayotegemea approval wizara ndio mara kadhaa figisu zao pesa hubakia.
 
Back
Top Bottom