Waziri Isack Kamwelwe aagiza DSTV, Azam na Zuku kuwarudishia wateja wao fedha walizolipia ving'amuzi: Asema vilikiuka Sheria.

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe, ameviagiza Kampuni za DSTV, Azam na Zuku kurejesha fedha za wateja walizokuwa wamelipia ving'amuzi kwani kampuni hizo zimekiuka sheria.
Waziri Kamwelwe amesema kuwa, Serikali itatoa muda wa mwisho ambao fedha hizo zinatakiwa ziwe zimesharejeshwa.
Wajuvi hebu tuelimishane: Hapa Kamwelwe anamaanisha yale malipo ya kila Mwezi ama Ving'amuzi vyenyewe?


IMG_6204.jpg
 
Kweli nimelipia azam mwezi huu hakuna nnachoangalia wakati azam nilifuata taarifa ya habari tu waturudishie tu hela zetu tununulie bundle ya internet tuangakie kwenye azam app haiwezekani nilipie king'amuzi halafu muda wa taarifa ya habari ninunue mb za internet gharama Mara mbili
 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe, ameviagiza Kampuni za DSTV, Azam na Zuku kurejesha fedha za wateja walizokuwa wamelipia ving'amuzi kwani kampuni hizo zimekiuka sheria.
Waziri Kamwelwe amesema kuwa, Serikali itatoa muda wa mwisho ambao fedha hizo zinatakiwa ziwe zimesharejeshwa.
Wajuvi hebu tuelimishane: Hapa Kamwelwe anamaanisha yale malipo ya kila Mwezi ama Ving'amuzi vyenyewe?


View attachment 833689
Hii serikali kwakweli inatuumiza vibaya sana sisi wananchi
 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe, ameviagiza Kampuni za DSTV, Azam na Zuku kurejesha fedha za wateja walizokuwa wamelipia ving'amuzi kwani kampuni hizo zimekiuka sheria.
Waziri Kamwelwe amesema kuwa, Serikali itatoa muda wa mwisho ambao fedha hizo zinatakiwa ziwe zimesharejeshwa.
Wajuvi hebu tuelimishane: Hapa Kamwelwe anamaanisha yale malipo ya kila Mwezi ama Ving'amuzi vyenyewe?


View attachment 833689
Yaani hao tcra wameshindwa kusimamia sheria zake bila kuwapoka wanachi uhuru wa kupata habari?
 
Kweli nimelipia azam mwezi huu hakuna nnachoangalia wakati azam nilifuata taarifa ya habari tu waturudishie tu hela zetu tununulie bundle ya internet tuangakie kwenye azam app haiwezekani nilipie king'amuzi halafu muda wa taarifa ya habari ninunue mb za internet gharama Mara mbili
Kwani habari si zinasomwa hapo Azam 2?
 
Aiseee serikali hivi imewaza kwa undani jinsi inavyo wafrastate wawekezaji?
Yaani! Imagine tunavyolipa hivyo vifurishi na serikali inapata kodi humo humo sasa hivi hatulipi na kodi hakuna. Lakini serikali haina kosa, wenye.kosa ni wale wengi wanaoitikia ndiooooo maana serikali inatekeleza tu matakwa ya sheria
 
Yaani! Imagine tunavyolipa hivyo vifurishi na serikali inapata kodi humo humo sasa hivi hatulipi na kodi hakuna. Lakini serikali haina kosa, wenye.kosa ni wale wengi wanaoitikia ndiooooo maana serikali inatekeleza tu matakwa ya sheria
Kodi kwa serikal hii sio priority kwan faini za traffic offence zinatosha kbs kukidhi haja yao
 
Aiseee serikali hivi imewaza kwa undani jinsi inavyo wafrastate wawekezaji?
Ili mtu uweze kuwaza, hatua ya kwanza ni kuwa na uwezo wa kuwaza, hatua ya pili ni kuwa na brain ya kuwaza na hatua ya tatu ni kuwa na wazo la kuwaza!. Kama huna uwezo wa kuwaza, utawaza vipi?.
Hata kama una uwezo, ila ukawa huna hiyo brain, then utawaza vipi?.
P.
 
Ili mtu uweze kuwaza, hatua ya kwanza ni kuwa na uwezo wa kuwaza, hatua ya pili ni kuwa na brain ya Kuwait na hatua ya tatu ni kuwa na wazo la kuwaza!. Kama huna uwezo wa kuwaza, utawaza vipi?.
Hata kama una uwezo, ila ukawa huna hiyo brain, then utawaza vipi?.
P.
This is too philosophical......I love the sound of your argument
 
Back
Top Bottom