Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,999
- 10,505
RIP... Mama
Mungu akuweke upande unaostahili..
Tabia za kuita wenzenu wagonjwa..
Ooh ikulu siyo hospitali ,si kauli nzuri.
Kabisa. Hata mie siipendi tabia hiyo mbaya.
RIP... Mama
Mungu akuweke upande unaostahili..
Tabia za kuita wenzenu wagonjwa..
Ooh ikulu siyo hospitali ,si kauli nzuri.
Kabisa. Lakini nani wa kukusikiliza kilio chako? Wameweka nta masikioni mwaoKingine Waache kukimbilia india wangekuwa na akili wangeboresha hospital nchini watibiwe humu humu...huko wanafata kifo tu
Ukiona mtu anachekelea kifo jua ana tatizo kubwa.
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.
Sasa unamwambia RIP maiti kwani anakusikia? Ujumbe wowote utolewao msibani huwa ni kwa ajili ya walio hai sio maiti.Wanaotoa mambo ya Itikadi wengine kuna ujumbe wanataka kuufikisha hasa kwa wale ambao kila siku wanahubiri majukwaani kuwa Lowassa ni Mgonjwa.Kifo cha Kombani.kiwe funzo kwao kuwa ni Mungu tu ajuaye afya ya mtu na lini Atakuchukua hakuna mwingine ajuaye
Nasikia Lowasa alipohamia CHADEMA huyu Mama alitamka maneno mabaya sana Kwa Lowasa.Kama Kweli Alisema hayo maneno basi Malipo mi hapahapa duniani
Alikuwa mgonjwa kumbe? Mbona hawa ccm wana roho mbaya sana?hawasemi kumbe mama alienda india kutibiwa na kafia india! Wamekazania kupiga push ups na kumkebehi mzee wetu lowasa,kuanzia leo kelele hatutaki kuhusu lowasa,kumbe mna wagonjwa wenu hamsemi
Nasikitika Kuwapa taarifa ya kifo cha Waziri wetu, Celina Kombani kilichotokea huko India..
Celina Ompeshi Kombani (19 June 1959 - 24 September 2015) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ulanga East constituency since 2005.
She was the Minister of State in the President's Office for Public Service Management.
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.
Nasikitika sana kwa kifo chake! R.I.P. mbunge wangu! Ila kwa nini afie India?