Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Bashe ni jembe sana. Tuachane na usomi wake na exposure yake kubwa ndani na nje ya nchi ya Tanzania.
Kwanza alianza kwa kusurvey maeneo yote ya Wizara yake nchi nzima akiwa Naibu Waziri. Ameizunguka nchi nzima.
Ametembelea taasisi zake zote na maeneo ya miradi yake nchi nzima.
Bashe ni mtu wa Umwagiliaji. Bashe anajua dhana ya uzalishaji.
Wabunge wanamkubali sana. He is very logical Minister. He knows what he is doing.
Bashe ni mashine ya hii nchi.
Kwanza alianza kwa kusurvey maeneo yote ya Wizara yake nchi nzima akiwa Naibu Waziri. Ameizunguka nchi nzima.
Ametembelea taasisi zake zote na maeneo ya miradi yake nchi nzima.
Bashe ni mtu wa Umwagiliaji. Bashe anajua dhana ya uzalishaji.
Wabunge wanamkubali sana. He is very logical Minister. He knows what he is doing.
Bashe ni mashine ya hii nchi.