Ebe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 810
- 966
Ana kinga ya kutoshtakiwa kwa yale atakayofanya akiwa madarakani ambayo yapo katika mamlaka yake kisheria (jurisdiction). Kwahiyo akifanya jambo nje ya mamlaka yake (ultra vires) anashtakika na kupandishwa mahakamani vizuri tu. Mamlaka ya Rais na mipaka yake inawekwa na katiba. Kisheria hakuna mtu aliye juu ya katiba.Ndiyo maana ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu. Amri yake haihojiwi lazima itekelezwe kwa mamlaka yake ktk Ulinzi na Usalama wa Taifa. Na ana "kinga" ya kutoshitakiwa.