Waziri anusurika kipigo

Waziri anusurika kipigo

Huyu wangempiga tu si ndio yule aliyeomba rushwa toka halmashauri ya Mkuranga!!
 
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.

Chanzo: Mtanzania

Umbea huo lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom