WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 932
Namsubiri mwigulu atue huku niliko, hakyamungu lazima angalau aonje machungu ya kumvungi dk.sengondo.
Wamakonde si ndio walioamka kwanza kudai gesi yao, wengine wanafunga tela!... Duuuh, Na Wasukuma Wameamka?? Bado Wazaramo Na Wamakonde
So baada ya kumpiga ndio wangepata soko la pamba! or? wajinga tu.
Wamakonde si ndio walioamka kwanza kudai gesi yao, wengine wanafunga tela!
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.
Chanzo: Mtanzania
... Usimwamshe Alierara.!
Apigwe tuu!!
slaa akipigwa unatoa povu humu
... Huyo Hawez Kupgwa Ni Chaguo La Watu, Na Saut Ya Watu Ni Sauti Ya Mungu
Jeshi lote limehamia huko na imetangazwa hali ya hatari, watakosa kuwa na woga?... Waoga Tu Haoo