Na wapigwe tu maana tumechoka sasa.Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.
Chanzo: Mtanzania
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.
Chanzo: Mtanzania
Namsubiri sana Pro Muhongo siku atakayoenda Mtwara na kuhutubia mkutano wa hadhara na kutoa yale majibu yake.
Sent from my iPad using JamiiForums
Waziri?