Waziri anusurika kipigo

Waziri anusurika kipigo

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.

Chanzo: Mtanzania
 
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.

Chanzo: Mtanzania

So baada ya kumpiga ndio wangepata soko la pamba! or? wajinga tu.
 
Kipindi cha bla bla kimekwisha watu wanajua ukweli. Ccm amkeni. Otherwise!!!!!!!!
 
.. Aaah, Kumbe Amenusurika? Wangemutwanga Za Uso Ndo Ingekua Fresh Sana
 
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.

Chanzo: Mtanzania

Wananchi hawana akili kazi yao kutumia nguvu nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom