Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

Tunawasubiri kwenye kampeni mutuambie kama hao wakina bashite ni watanzania wanaotumia sheria za wap? Na hao mliowaadhibu vyeti feki kama ni wakimbizi au a tz.

Bashite ni zaidi tanzanite
 
"I real thnx God" sijawai kufanya kazi serikalini maana ningekufa na huyu rais anayekurupuka ovyo

Hili jambo linahitaji akili ya ziada tu sio lazima uwe kwenye hizo idara

Pole sana kama kosa hulioni
huyu black pipo nae eti mshipa wa shingo umemsimama, mishipa ya m**n*du imefura anakomaa bashite atumbuliwe kwa kufoji vyeti!!!
 
Ni uelewa wako tu! Hawa waliotajwa sio watumishi wa umma, ambao ni Diwani Deus LUGHE, Mbunge Freeman MBOWE, RC Paul MAKONDA, DC Ally HAPI, WAZIRI MKUBWA, Waziri SIMBACHAWENE, DR TULIA NA BOSI WAKE, NK Akiwemo bosi wa JMT.
Basi kama hao untouchables sio watumishi wa umma!niwatumishi wanani???? na kama sio watumishi wa umma?mbona umma ndio unawalipa mishahara na posho mbalimbali lukuki??? Basi kama hao si watumishi wa umma! Umma haupaswi kuwalipia mishahara na posho zao kupitia kodi za umma!!! Haya ni mawazo yangu binafsi pengine nimekosea na kama nimekosea naomba kusahihishwa
 
Kumbe ilitakiwa nijue tu kusoma halafu nitafute nafasi ya kisiasa!
Stretch your mind ! Usiwe KI.LA.ZA kama hawa walioshindwa kuelewa phrase ndogo kama hii aliyotoa Prof.Kabudi kuwa "when law was law and President was President'! Wanatafsiri kiswahili kuwa sasa hatuna sheria wala Rais! Wapuuzi ! Acha Wakenya watudharau kwa Uki.la.za wa Lugha ya Kiingereza tu!
 
Mwanangu Wa kwanza anamiaka 7 sasa! Anauwezo mzuri Sana wa kusoma na Kuandika, zaidi Ana reason Sana, yaani ukikaa nae atakuchangamsha kuliko hata mtu mzima mwenzio, haboi yaani.

Najiuliza huyu hawezi kua MTEULE wa Mheshimiwa Sana? Toka mchana nimepata Jaka la Roho, yaani kujipambanua koooooooooote kumbe Ni wale wale, tena Mara elfu Jakaya alikua na uwezo hata wa kuvunja baraza la mawaziri, huyu kumtumbua Tu Mzungushaji kashindwa! Eti anatakiwa kujua kusoma na kuandika, oooh my God, mbona my son anaweza vyote hivyo tena kwa kiswahili na kiingereza! What a .....!!??

Nimeanza kuelewa kwanini nchi inafeli kiuchumi, the basic reason Ni Elimu ya wanaotuongoza no wonder Ben alihoji PHD, niseme wazi Tu, hili la Leo limetuabisha sio wasomi Tu Bali Watanzania wote kwa ujumla, nikikumbuka hustle za shule from nursery to Chuo naumia mno.

Mimi binafsi nilijua kusoma kabla hata sijaanza Nursery, yaani mama yangu alikua ananifundisha kwa nguvu kubwa Sana, this is to say sikutakiwa kwenda shule kabisa, yaani ilibidi kuanza na Uenyekiti wa mtaa then nalisongesha, saivi ningekua na Mimi natembelea chuma ya 200m, nyumba kali Masaki, na booonge la legacy!

Inasikitisha Sana, wakati bei ya unga Ni kubwa kuliko petrol, wakati bei ya sukari kilo moja unapata karibia lita mbili za diesel Leo waziri mbele ya Rais anasimama kuonyesha eti nchi hii unatakiwa kujua kusoma na kuandika Tu, kweli? Au ndio maana Bungeni hamna kinachofanyika.?

Tunataka serikali wajibifu isiyo na makandokando yeyote! Haya yote tunayatunza, na wewe waziri mwisho wa siku usije kujibu kama Mama Zakia kwa "Mimi nilikua sijui, waliniletea Ni saini Tu".
 
Stretch your mind ! Usiwe KI.LA.ZA kama hawa walioshindwa kuelewa phrase ndogo kama hii aliyotoa Prof.Kabudi kuwa "when law was law and President was President'! Wanatafsiri kiswahili kuwa sasa hatuna sheria wala Rais! Wapuuzi ! Acha Wakenya watudharau kwa Uki.la.za wa Lugha ya Kiingereza tu!

We umeelewa nini kwenye hiyo kauli ya Profesa?
 
Stretch your mind ! Usiwe KI.LA.ZA kama hawa walioshindwa kuelewa phrase ndogo kama hii aliyotoa Prof.Kabudi kuwa "when law was law and President was President'! Wanatafsiri kiswahili kuwa sasa hatuna sheria wala Rais! Wapuuzi ! Acha Wakenya watudharau kwa Uki.la.za wa Lugha ya Kiingereza tu!
Huwa sipendi hawa viherere here!!!
 
Stretch your mind ! Usiwe KI.LA.ZA kama hawa walioshindwa kuelewa phrase ndogo kama hii aliyotoa Prof.Kabudi kuwa "when law was law and President was President'! Wanatafsiri kiswahili kuwa sasa hatuna sheria wala Rais! Wapuuzi ! Acha Wakenya watudharau kwa Uki.la.za wa Lugha ya Kiingereza tu!
Uongozi ni pamoja na kuwa na hekima na breki ya mdomo kutotoa si tu maneno mabovu, bali pia maneno ambayo kirahisi tu yanaweza kutafsiriwa vibaya.

Ndiyo maana unaona mtu kama Obama anajitahidi sana anapoongea kila neno analipima.

Huyo gwiji wenu wa sheria aliposema "when president was president and when law was law" kama hajataka kuvamia fani ya ushairi ambayo chochote kinaweza kuwa na maana yoyote kwa sababu ya tafsiri kuwa inapindika kuliko upinde wa mvua, kwa watu wanaotafsiri vitu kwa kutumia mantiki amemaanisha kwamba sasa hivi hatuna sheria wala rais.

Sasa kama hamna sheria, yeye ni waziri wa nini?

Kama hatuna rais, aliyemuapisha kuwa waziri ni nani?
 
Bandiko la mh waziri kuhusu viongozi wa ngazi za juu kuwa kinachoangaliwa kwao ni uwezo wa kusoma na kuandika ndio sababu kuu inayofanya hata elimu yetu kuwa mbovu kwa kuwa wanaopewa dhamana ya kutuongoza hawajui umuhimu wa elimu.
 
Kama elimu haijakusaidia unatakaje sasa?
Achana na ujinga wa awamu hii nayo itapita angalia mambo yako
Mpaka 2020 tutaona maajabu mengi sana

Mm nafikiri itungwe sheria kuhusu hawa viongozi wetu wa ngazi za juu

Inabidi kwa hawa wabunge na wakuu wa mikoa angalau wawe na elimu ya kidato cha sita na mawaziri wawe na elimu angalau degree bila hivyo tutaendelea kuzalisha taifa la vilaaza kila kukicha.
 
Mpaka 2020 tutaona maajabu mengi sana

Mm nafikiri itungwe sheria kuhusu hawa viongozi wetu wa ngazi za juu

Inabidi kwa hawa wabunge na wakuu wa mikoa angalau wawe na elimu ya kidato cha sita na mawaziri wawe na elimu angalau degree bila hivyo tutaendelea kuzalisha taifa la vilaaza kila kukicha.
Mkuu, awamu hii imekula kwetu, nathubutu kusema tumeliwa
 
Back
Top Bottom