GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Mheshimiwa Mpina amemlenga huyu huyu Waziri au yule Waziri mwingine?
Janga la utekaji nchini ni likesababishwa na uzembe wa Wizara ya Mambo ya Ndani au Uamuzi wa "wakubwa"?
Utekaji ungekuwepo kama "wakubwa" wasingeuhitaji?
Nahisi Mheshimiwa hamsemi "huyu" Waziri bali "yule" Waziri!
Janga la utekaji nchini ni likesababishwa na uzembe wa Wizara ya Mambo ya Ndani au Uamuzi wa "wakubwa"?
Utekaji ungekuwepo kama "wakubwa" wasingeuhitaji?
Nahisi Mheshimiwa hamsemi "huyu" Waziri bali "yule" Waziri!