Waziri afariki dunia

Waziri afariki dunia

Status
Not open for further replies.

olengai

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
308
Reaction score
65
Ndg wakuu,kuna taarifa mtaani kuwa waziri mmoja katika serikali ya kikwete aliekuwa amelazwa kwa ugonjwa Afrika kusini,hatimae ametangulia mbele za haki.
Naomba mwenye habar kamili atujuze.
 
Nani huyo tena..
Dah! Kama ni kweli basi Mungu amrehemu!
 
chanzo cha habari yako ni nini au umeota sasa unatafuta uhakika wa ndoto yako.
 
Ndg wakuu,kuna taarifa mtaani kuwa waziri mmoja katika serikali ya kikwete aliekuwa amelazwa kwa ugonjwa Afrika kusini,hatimae ametangulia mbele za haki.
Naomba mwenye habar kamili atujuze.

Una maanisha mhe. Mgimwa?
 
nae si alikuwa kwenye kashfa ya "mzigo",
kama ni kweli hii habari ya kujiudhuru, na wengine kupigwa chini itakuwa imechangia!
 
Ndg wdau,kuna tetes mitaan kuwa waziri m1 katika serikal ya kikwete ambae alikuwa amelazwa Afrika kusini kwa matibabu,hatimae katangulia mbele za haki.
Mwenye taarifa kamili atupe.
 
Huyo atakuwa ni Mgimwa, waziri wa fedha! Majanga baraza la mawaziri!!!
 
Mmmh... Ya kweli haya?? Mods tafadhali mthibitishe!!!

Invisible upo????
 
Last edited by a moderator:
Duh kama ni kweli basi baraza litakuwa limekumbwa na kimbunga
 
Wewe vipi, hapa ni sehemu ya kuleta taarifa, unauliza swali iwapo taarifa inamapungufu, sasa nani akupe taarifa wakati wewe umeanzisha uzi huku huna taarifa?, kama kuna mwanaJF angekuwa na taarifa hizo si angeanzisha uzi, au unalengo la kuleta uchulo???
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom