janken mbisso
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 248
- 71
je, huu ni udaku?
Tafadhali heshimu utu wako.
Sio vizuri kuzushia vifo watu
Huyo atakuwa ni Mgimwa, waziri wa fedha! Majanga baraza la mawaziri!!!
Ndg wdau,kuna tetes mitaan kuwa waziri m1 katika serikal ya kikwete ambae alikuwa amelazwa Afrika kusini kwa matibabu,hatimae katangulia mbele za haki.
Mwenye taarifa kamili atupe.
Sio vizuri kuzushia vifo watu
Sio vizuri kuzushia vifo watu
Ndg wdau,kuna tetes mitaan
kuwa waziri m1 katika serikal ya kikwete ambae alikuwa amelazwa Afrika
kusini kwa matibabu,hatimae katangulia mbele za haki.
Mwenye taarifa kamili atupe.
Thread mavi ndio hizi.