bBusneM
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 288
- 571
Habari wakuu
Moja Kwa moja kwenye mada kudaiwa sio kosa kabisa kuna muda unajiona kama umefanya makosa vile kokopa
Kwa upande wangu nadaiwa hadi sio vizuri lakini sio maksudi wakuu kila nikikopa na kuamua kufanyia mission flani basi huwa ina feli na jinsi ya kulipa inakua shida kidogo ingawa kwa hali zote huwa najitahidi kulipa.
Kuna jamaa yangu alinikopesha million moja nifanye biashara daah biashara ikafa sikumwambia ukweli ila yeye alijua inaenda poa sababu tulikua mbalimbali basi bwana nikamwambia aongeze millioni tena jamaa huyo ile nakaribia kupiga faida mission ikafa nikapoteza zote jamaa kuja kujua nikamwambia takulipa tu alimaind lakini ndio hivo paka leo miaka kadhaa imepita sijamlipa bado ila nakumbuka na Mungu akipenda tamlipa tu
Kuna Mwana ile amepata kazi mi sijapata nikamkopa laki tano paka leo bado sijamlipa
Kuna dingi yangu mkubwa alipokua anastafu nikamkopa millioni 5 nikaingia shamba ilitokea dhahama huko sikupata hata mia paka leo mzee ananidai lakini ndio hivo tena namlipa maneno th
Kuna mshikaji wangu pia alikuta kibishara flani nafanya kilikua kinaonekana kina future nzuri sasa bwana akasema aweke pesa nae si akaweka million 5 baada ya miezi kadhaa daah likaja janga mzee tukapoteza pesa yote japo hajanidai ila namuona hayuko poa
Kuna kipindi mzee aliumwa basi nikamuuguza kipindi kirefu hadi pesa ikaisha basi nikampiga mwana mkopo akaniazima millioni 3 daah paka leo sijamlipa
Kuna dogo nae alinikopesha millioni moja na nusu ninunue viazi mviringo ile nimenunua tu nimepakia kwenye gari daah gari njiani likapata hitirafu kufika mabibo nilitegemea gunia lianzie elfu 55 daah dalali ananiambia bei leo inaenda na 40 sasa kuja kufungua gari viazi havitamaniki daah dalali ananiambia hivi tunauza 25 kama utaki kesho utamwaga dogo paka leo sijamlipa pia
Kuna mwana nae alisema nimmunulie mpunga huku usangu mbeya nikaona ngoja nitumie kidogo alafu mda ukifika ninunue nikachomoa laki 5 duuuh kule mambo yakabuma paka leo nimepoteza uaminifu Kwa asilimia kubwa
Mambo ni mengi wakuu paka leo nadaiwa pesa lukuki lakini sijakata tamaa tawalipa ila wawe wapole mana nakomaa kama kawaida
Vipi kwenu aisee tubadilishane changamoto za kudaiwa wakuu na jinsi gani tunakabiliana nazo ingawa paka saizi siogopi kabisa kudaiwa
Moja Kwa moja kwenye mada kudaiwa sio kosa kabisa kuna muda unajiona kama umefanya makosa vile kokopa
Kwa upande wangu nadaiwa hadi sio vizuri lakini sio maksudi wakuu kila nikikopa na kuamua kufanyia mission flani basi huwa ina feli na jinsi ya kulipa inakua shida kidogo ingawa kwa hali zote huwa najitahidi kulipa.
Kuna jamaa yangu alinikopesha million moja nifanye biashara daah biashara ikafa sikumwambia ukweli ila yeye alijua inaenda poa sababu tulikua mbalimbali basi bwana nikamwambia aongeze millioni tena jamaa huyo ile nakaribia kupiga faida mission ikafa nikapoteza zote jamaa kuja kujua nikamwambia takulipa tu alimaind lakini ndio hivo paka leo miaka kadhaa imepita sijamlipa bado ila nakumbuka na Mungu akipenda tamlipa tu
Kuna Mwana ile amepata kazi mi sijapata nikamkopa laki tano paka leo bado sijamlipa
Kuna dingi yangu mkubwa alipokua anastafu nikamkopa millioni 5 nikaingia shamba ilitokea dhahama huko sikupata hata mia paka leo mzee ananidai lakini ndio hivo tena namlipa maneno th
Kuna mshikaji wangu pia alikuta kibishara flani nafanya kilikua kinaonekana kina future nzuri sasa bwana akasema aweke pesa nae si akaweka million 5 baada ya miezi kadhaa daah likaja janga mzee tukapoteza pesa yote japo hajanidai ila namuona hayuko poa
Kuna kipindi mzee aliumwa basi nikamuuguza kipindi kirefu hadi pesa ikaisha basi nikampiga mwana mkopo akaniazima millioni 3 daah paka leo sijamlipa
Kuna dogo nae alinikopesha millioni moja na nusu ninunue viazi mviringo ile nimenunua tu nimepakia kwenye gari daah gari njiani likapata hitirafu kufika mabibo nilitegemea gunia lianzie elfu 55 daah dalali ananiambia bei leo inaenda na 40 sasa kuja kufungua gari viazi havitamaniki daah dalali ananiambia hivi tunauza 25 kama utaki kesho utamwaga dogo paka leo sijamlipa pia
Kuna mwana nae alisema nimmunulie mpunga huku usangu mbeya nikaona ngoja nitumie kidogo alafu mda ukifika ninunue nikachomoa laki 5 duuuh kule mambo yakabuma paka leo nimepoteza uaminifu Kwa asilimia kubwa
Mambo ni mengi wakuu paka leo nadaiwa pesa lukuki lakini sijakata tamaa tawalipa ila wawe wapole mana nakomaa kama kawaida
Vipi kwenu aisee tubadilishane changamoto za kudaiwa wakuu na jinsi gani tunakabiliana nazo ingawa paka saizi siogopi kabisa kudaiwa