Genio the great
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 167
- 503
Habari za muda huu wakuu, Leo katika pita pita zangu nilifika ubungo stand ya mabus ya zamani, nilipofika yale maeneo nilikumbuka tukio moja ambalo niliwahi fanyiwa miaka ya 2011 kipindi nikiwa Advance.
Ilikuwa hivi wakati nikiwa Advance nilikuwa nasoma high school moja iliyopo iringa kwahyo tunapokaribia kufungua shule Mshua alikuwa ananipatia nauli nikakate mwenyewe ticket.
Sikuwaga na ule utaratibu wa kukata ticket siku ileile ya safari nilikuwa naogopa kukosa gari.
Sasa siku hiyo kama kawaida nikachukua nauli yangu hadi ubungo kama unavyojua kwenye stand za mabus kumejaa mawakala wa mabus kama wot.
Na wengine Wanakwenda mbali zaidi Wanavaa hadi sale ya bus husika unaweza jua ni muhusika kumbe dalali tu anataka akupeleke ofisini yeye apewe Buku siku iende.
Sasa siku hiyo Ile nafika tu pale gafla akanidaka jamaa mmoja chap na kuniuliza unaelekea wapi nkamjibu nasafri kwenda iringa j2 hvyo Leo nmekuja kufanya booking tu.
Akasema usijar dogo limeisha lete Hela Kisha nifuate kiukweli nilikuwa kma sielewi kinachoendelea yaani yule jamaa alinichukua hadi kwenye mlango wa bus za Upendo akaniambia nisubr maana gari zimejaa lete nikakuombee ndani.
Baada ya dak kma Tano hv akarudi akaniambia dogo gari zimejaa ila nmekufanyia mpango utaenda hiyo j2 Wala usiwe na wasiwasi Kuna bus litakuja siku hiyo asbh mtapanda na ticket mtapewa hapohapo maana bus ni jipya ila kwasasa shika hii ticket ukija siku hiyo utaonyesha.
Hiyo ticket aliyoniambia nishike ilikuwa ni ticket ya daladala Mbezi -Kariakoo na Wala sikuwaza Kwa undani nikaondoka.
Wakati nikiwa njian naenda nyumban akili ndio ikanirudi kawaida mbona hii ticket ya daladala sijapigwa kweli, akili ikaniambia hapa nishapigwa na sijui nyumbn naenda kusema nini.
Mimi nkarud zangu home Wala sikusema kitu ,ila yule jamaa alinipa namba yake ya simu na nilimkariri na sura
Ilipofika j2 siku ya safar mm nikabeba vitu vyangu hadi stand.
jamaa nkamkuta ananiambia dogo subr, kwenda utaenda kwa namna yoyte aliniweka sehm nikakaa hadi saa Saba hiv akaja akaniambia Sasa sikia mm naenda kukuombea kwenye coster Fulani ila nitawaambia wewe ni mtoto wa askari hawatakufanya kitu na utasafiri.
Sasa kwakuwa namm sikutaka mtu yoyote nyumban ajue nikawa nakubaliana na Kila Hali ikaja coster kwel akawaambia vilevile huku anawaonyesha traffic mmoja alikuwa Kwa mbali maeneo ya geti la kutokea mm nkapewa seat ya mbele nikakaa tukaondk saa nane nkafika iringa usiku.
Najua kabisa Ile nauli jamaa aliipiga yeye mwenyew basi nkikumbuka Hilo tukio najicheka sana yaani kupewa ticket ya daladala Kwa niaba ya bus.
Uliwahi tapeliwa nini hadi Leo haujasahau?
Ilikuwa hivi wakati nikiwa Advance nilikuwa nasoma high school moja iliyopo iringa kwahyo tunapokaribia kufungua shule Mshua alikuwa ananipatia nauli nikakate mwenyewe ticket.
Sikuwaga na ule utaratibu wa kukata ticket siku ileile ya safari nilikuwa naogopa kukosa gari.
Sasa siku hiyo kama kawaida nikachukua nauli yangu hadi ubungo kama unavyojua kwenye stand za mabus kumejaa mawakala wa mabus kama wot.
Na wengine Wanakwenda mbali zaidi Wanavaa hadi sale ya bus husika unaweza jua ni muhusika kumbe dalali tu anataka akupeleke ofisini yeye apewe Buku siku iende.
Sasa siku hiyo Ile nafika tu pale gafla akanidaka jamaa mmoja chap na kuniuliza unaelekea wapi nkamjibu nasafri kwenda iringa j2 hvyo Leo nmekuja kufanya booking tu.
Akasema usijar dogo limeisha lete Hela Kisha nifuate kiukweli nilikuwa kma sielewi kinachoendelea yaani yule jamaa alinichukua hadi kwenye mlango wa bus za Upendo akaniambia nisubr maana gari zimejaa lete nikakuombee ndani.
Baada ya dak kma Tano hv akarudi akaniambia dogo gari zimejaa ila nmekufanyia mpango utaenda hiyo j2 Wala usiwe na wasiwasi Kuna bus litakuja siku hiyo asbh mtapanda na ticket mtapewa hapohapo maana bus ni jipya ila kwasasa shika hii ticket ukija siku hiyo utaonyesha.
Hiyo ticket aliyoniambia nishike ilikuwa ni ticket ya daladala Mbezi -Kariakoo na Wala sikuwaza Kwa undani nikaondoka.
Wakati nikiwa njian naenda nyumban akili ndio ikanirudi kawaida mbona hii ticket ya daladala sijapigwa kweli, akili ikaniambia hapa nishapigwa na sijui nyumbn naenda kusema nini.
Mimi nkarud zangu home Wala sikusema kitu ,ila yule jamaa alinipa namba yake ya simu na nilimkariri na sura
Ilipofika j2 siku ya safar mm nikabeba vitu vyangu hadi stand.
jamaa nkamkuta ananiambia dogo subr, kwenda utaenda kwa namna yoyte aliniweka sehm nikakaa hadi saa Saba hiv akaja akaniambia Sasa sikia mm naenda kukuombea kwenye coster Fulani ila nitawaambia wewe ni mtoto wa askari hawatakufanya kitu na utasafiri.
Sasa kwakuwa namm sikutaka mtu yoyote nyumban ajue nikawa nakubaliana na Kila Hali ikaja coster kwel akawaambia vilevile huku anawaonyesha traffic mmoja alikuwa Kwa mbali maeneo ya geti la kutokea mm nkapewa seat ya mbele nikakaa tukaondk saa nane nkafika iringa usiku.
Najua kabisa Ile nauli jamaa aliipiga yeye mwenyew basi nkikumbuka Hilo tukio najicheka sana yaani kupewa ticket ya daladala Kwa niaba ya bus.
Uliwahi tapeliwa nini hadi Leo haujasahau?