Labda kwa gari ambayo ina turbo charger, Ila kwa gari za kawaida ni Bora kuizima since engine ina jipooza na kumaintain joto kupitia engine cooling system. Kama ushagundua ukipiga long trip afu ukasimama mara nyingi radiator inawasha the extra fan, ili kupoozesha engine, so hapo gari inatumia extra effort kupooza, tofauti ukiwa upo race upepo wa njiani unasaidia kupooza engine.