Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,517
- 9,452
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]From my experience, watu wenye magari "proper" au ya kifahari (sorry nimekosa jina sahihi), I mean the likes of VW, mercedes, BMW, Discovery nk.....kwanza wengi ni wenye uwezo kiuchumi......wakiwa barabarani wanakuwa waangalifu sana. wengi ni watu wenye familia na exposure.... mara nyingi wengi wanaendeshwa.... wanawaambia madereva wao..sitaki speed! Of course yo have exception too ya vijana wenye magari kama haya wanao-behave tofauti...
Ukichunguza vizuri hawa wenye passo, IST nk ni vijana wanaanza maisha. Wengi wa hii kada wanapenda mashindano barabarani. And they are young and super hyper. Kwa hiyo usishangae mtu anaendesha IST au Passo anampita kiongozi na VW yake..akifika mbele anakwambia hata VW kwa Passo haisogei.
Personally, nikiwa barabarani na VW au BMW, whether ni mimi naendesha au dereva..max ni 120!
Hahahah...My friend ndo nimeanza kuzipata halafu unataka nife kizembe kisa nakimbizana na passo, Raum au Rectis barabarani? hapana aisee....ngoja tuwaache vijana wafaidi ujana wao...🙂
Hii barabara hii..duh.... Na mara nyingi napita nikiwa nimechoka!
Au waweke utaratibu namba za magari amabayo yameshakufa kabisa na hayatatumika zirudishwe TRA ili wapewe watu wengine.Ila wangeruhusu pia utaratibu wa ku recycle registration numbers. Yaani kama nilikuwa nina gari lenye usajili wa T560CRA, halafu nikapata gari jipya na hili la zamani nimeacha kulitumia, niweze kutumia hiyo T560CRA kwenye gari jipya. Ili mradi registration card iwe updated tu kutokana na taarifa za gari jipya. Hii inakuwa kama personalise number plate ambayo unaibakiza unapokuwa na gari jipya.
Utaratibu huu upo baadhi ya nchi za nje.
Kuna ambao namba sio ishu mimi binafsi fresh tu.Wabongo wanavyoabudu namba mpya nani atakubali namba ya zamani?
Kutokuona mbali kunatatuliwa na miwani.Shukrani
Daah sasa huwa najiuliza wale wanaosafiri usiku kwenye hizo speed huwa wanawezaje aiseee
Mimi nina tatizo la kutokuona mbali na huwa nawaza kusafiri usiku kwenye high speed hasa peke yangu
Ila huwa nasoma humu naona watu wanasema wanasafiri usiku kwenye high speed hadi nawaonea wivu
Hizo taa za 400W+ hazitesi electrical system ya gari? Kwa 12v hizo ni almost 20A. Ni umeme mkubwa mno. Is it safe kuzifunga?
Sijawahi kusikia malalamiko kwa waliozifunga.Hizo taa za 400W+ hazitesi electrical system ya gari? Kwa 12v hizo ni almost 20A. Ni umeme mkubwa mno. Is it safe kuzifunga?
Mapopo tushazoea kupigwa full na hatuyumbi wala nini, tunatumia peripheral vision. Tuteseni tu na taa zenu. Hata mnipige full usiku mzima siachi kutembea usiku [emoji23]
Though I don't think they are legal.Hizo taa za 400W+ hazitesi electrical system ya gari? Kwa 12v hizo ni almost 20A. Ni umeme mkubwa mno. Is it safe kuzifunga?
Mapopo tushazoea kupigwa full na hatuyumbi wala nini, tunatumia peripheral vision. Tuteseni tu na taa zenu. Hata mnipige full usiku mzima siachi kutembea usiku [emoji23]
All the best, take careJmos nipo road, anayetaka lift na anipe company, route Dar - Arusha via Dodoma. Nitakua na BMW X6.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Obviously not ila this is Tz [emoji23]Though I don't think they are legal.
Duh nitaruhisiwa kuendesha?Jmos nipo road, anayetaka lift na anipe company, route Dar - Arusha via Dodoma. Nitakua na BMW X6.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nje ya mada:Kutokuona mbali kunatatuliwa na miwani.
Nikivua miwani yangu -3.5 hata kupaki gari siwezi. Nikivaa natembea mwendo mzuri tu usiku kama mchana.
Nje ya mada:
Unavaa lens kama yangu,
Hivi hajawahi tafuta ama sikia suluhisho jingine la hili tatizo nje na miwani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Okee[emoji17][emoji120][emoji120][emoji120]Hapana, sina taarifa za uhakika juu ya alternatives.
All the best...uangalie speed..hawa jamaa humu usiwasikilize sana aisee...Jmos nipo road, anayetaka lift na anipe company, route Dar - Arusha via Dodoma. Nitakua na BMW X6.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahah!Saint Anne thanks for likes....