Wazee wa riddim...!!!

Kuna jamaa anaitwa Demarco na ngoma yake Link up.Pia jamaa mmoja aitwaye Conkarah ana ngoma za hatari.Mcheki Jah Cure na ngoma kama wake up,that girl na from my heart
 
Kweli jamaa fundi, kuna ngoma yake inaitwa "Superman" naweza kuisikiliza yenyewe tu siku nzima
Sorry is a sorry worD..
Crazy kawa featured n Rock city aliua sana ile chorus, Ana sauti amby iko powerful sana..
Respect
 
Ukianza kuisikiliza kisha ukarusha ngoma hata moja niambie nikurudishie bando lako.
Hii ni playlist ya majirani zangu wapende ama wasipende watasikiliza tu.
 
nyingine hiyo jamaa walifanya kazi jamani, yaani mimi bongo fleva kusikiliza ni sawa na kutembelea jukwaa la siasa hapa JF{Najitahidi ila siweziiiiiii}
 
yuh right bredda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…