Wazee wa Michepuko Valentine day mta...

Wazee wa Michepuko Valentine day mta...

Mkare_wenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
1,714
Reaction score
448
Valentine day mtajigawa vipi,mtoko inakuwaje?Utatoka na Small house ama wife?
 
Kibaya kuliko vyote ni kwamba imeangukia Friday yani hapo no excuse.... ngoja waje wenye uzoefu namna ya kuhandle hii hali.
 
mmmh kutoka na wife ngumu labda uwe na soo unataka kumzubaisha hii ni cku ya mchepuo tu!!!
 
wamichepuko mbona watatoka na wote mchana small house usiku wife wakati huo huo ofisini anatoa taarifa ana tumbo la kuhara na nyumban anaaga anaenda kazini!
 
Back
Top Bottom