Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 6,009
- 19,840
nimeandika na kufuta mara nyingi nisijue ni lipi jibu sahihi la kukupaTupeni strategy, njia za kujilipua ma sio hadithi. Wanaojilipua halisi huwa hawajali ilimradi apate chake na akishapata ndio anakwenda kwenye malengo yake. Tupeni njia halisi sio stori
Mfano unatuambia kuwa ukitaka kupata million 30 kwa miezi miwili unapita hapa na hapa and the rest tunamaliza wenyewe. Risk takers tupo .na when it comes to it we never back down no matter what
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umesoma uzi huu toka mwanzo hadi mwisho na hujapata kitu bhasi this thing may not be for you maana ukisoma post za watu wengi ni kama wameamshwa na wanafikiria kuyarudia yale waliyoyaacha kutokana na mfumo uliopo wa kusoma na kupata ajira...
hiki kitu kinatakiwa kitoke ndani yako na uwe na hamasa ya kukiamini na kukiishi ili ukitimize ... kila mtu ana malengo tofauti na hatuwezi kuwa na njia moja kwa mfano ruge mutahaba wa sekta ya burudani na bakhresa wote walirisk lakini kwa njia tofauti
Kitu cha kwanza yakupasa kuwa na ndoto ama vision itakayokusukuma wewe kufanya lolote ili uifanikishe
ila mission ni wewe mwenyewe utapiga hesabu gani ili uyafikie malengo yako yaani hakuna "GENERAL RULE" .
Pengine waweza kufanya kazi katika makampuni yanayojihusisha na kitu ukipendacho ili kutengeneza experience na network , kuwafuatilia waliokutangulia kupitia vitabu vyao ama mahojiano nao ama waweza kuanza na biashara itakayokuPa financial muscles yaani njia zipo nyingi na ni wewe tu wapaswa kuwa na passion ya kitu unachotaka kukifanya na kujitolea kufanya research ili upate uhakika zaidi..
The more you work on it ,the more clearer it becomes
Usiwe mvivu .. Jihangaishe na jiamini