Wazazi wengi wanakimbia school Bus wanatumia Bodaboda kupeleka na kurudisha watoto shule. Polisi angalieni hili.

Rufiji dam

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
3,804
8,797
Sijui ni kuepuka gharama za kulipia school bus ama ni kuwaepusha watoto na mzunguko mkubwa wa haya mabasi ya shule.

Sasa hivi kumeibuka tabia ya wazazi kuwatumia bodaboda kama njia rahisi ya kuwachukua watoto kutoka shule hizi shule za Kiingereza, huenda ni njia rahisi ya kuepuka gharama.

Lakini ni hatari sana unakuta bodaboda moja inabeba watoto wawili mpaka watatu na hawana kofia ngumu vichwani, serikali ijaribu kuingilia kati hili jambo maana sasa hivi imekuwa na fursa na usafiri wa kawaida sana.
 
Yani ni mateso yote hayo si bora kuwapeleka tu kayumba
 
Nani aliwadanganya na kofia ngumu? Umewahi kuona mtoto akivaa kofia ile anavyokosa hewa? Nani aliwadanganya kuwa kofia inazuia ajari? Pili nani alikwambia ukitumia boda boda unapata ubafuu? Kila mtu afanye kinachewezekana kwake ila kwangu mimi mtoto hapandi boda japo watoto wanazungushwa sana mpaka wanasinzia kwenye magari ya shule.
 
Back
Top Bottom